MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

JK: Tumefanya mengi zaidi katika sekta ya Elimu...na tunawaahidi tutafanya mengine meengii...pale ambapo tumeshindwa tumeeleza sababu...naomba mtuamini mtupe kura zenu..

Watu bila hiyana wampa....!!
 
JK: Tumefanya mengi zaidi katika sekta ya Elimu...na tunawaahidi tutafanya mengine meengii...pale ambapo tumeshindwa tumeeleza sababu...naomba mtuamini mtupe kura zenu..

Watu bila hiyana wampa....!!

Natamani niipest kwenye gazeti la HABARI LEO HII COMMENT.. it means alot kulinganisha na ufaulu wa mwaka huu... eti hela zinapelekwa DOwaans jamani !!!
 
Unategemea nini kama walimu wa hoa watoto wa sekondari ni wale wanaopataga division 4!

Yaani mwalimu awe kilaza,unategemea wanafunzi watakuaje?!

Vile vile unategemea nini kama shule ina mwalimu 1 ambae ndie mwalimu mkuu,mwalimu wa maths,chemistry,english,kiswahili,physics et al.! Hapo output itakuaje?

Shule hazina maabara,wanafunzi wanaisikia na kupata imaginary pictures tu za vifaa vya maabara. Unatarajia utapata wanasayansi wa namna gani?
 
JK:>>>>>>>>"Tumetimiza malengo ya milenia" na "kutoka hapa tunaenda mbele zaidi">>>>>>

Mh Speaker bahati mbaya sana hatukuambiwa na wala hatukuuliza "tumetimiza malengo kwa kiasi gani'??? Yametimia kwa 5% au -5%??

Kama ni -5% kisha tukaendelea mbele inakuwa -ve ngapi sijui.
 
s1930 j. M. Kikwete secondary school
div-i = 0 div-ii = 4 div-iii = 2 div-iv = 29 fld = 52

s1803 lowassa secondary school
div-i = 3 div-ii = 6 div-iii = 9 div-iv = 81 fld = 76

s2469 celina kombani secondary school
div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 1 div-iv = 21 fld = 44

s1337 sumaye secondary school
div-i = 0 div-ii = 1 div-iii = 18 div-iv = 59 fld = 111

s3489 sumaye secondary school
div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 3 div-iv = 26 fld = 37

s3866 regina mumba lowassa secondary school
div-i = 0 div-ii = 1 div-iii = 1 div-iv = 19 fld = 148

s0960 benjamin william mkapa high school
div-i = 5 div-ii = 25 div-iii = 74 div-iv = 263 fld = 282

s3561 salma kikwete secondary school
div-i = 3 div-ii = 8 div-iii = 27 div-iv = 119 fld = 150

Come 2015, wanarudi mitaani. Majimbo ya Miji yote yanakwenda CHADEMA. Shukrani kwa EL kwa kutuandalia "jeshi" hili litakaloleta mageuzi ya kweli nchi hii. Sio hawa wa Vyuo Vikuu wanaoandamana kwa ajili ya posho ya kujikimu!
 
s1930 j. M. Kikwete secondary school
div-i = 0 div-ii = 4 div-iii = 2 div-iv = 29 fld = 52

s1803 lowassa secondary school
div-i = 3 div-ii = 6 div-iii = 9 div-iv = 81 fld = 76

s2469 celina kombani secondary school
div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 1 div-iv = 21 fld = 44

s1337 sumaye secondary school
div-i = 0 div-ii = 1 div-iii = 18 div-iv = 59 fld = 111

s3489 sumaye secondary school
div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 3 div-iv = 26 fld = 37

s3866 regina mumba lowassa secondary school
div-i = 0 div-ii = 1 div-iii = 1 div-iv = 19 fld = 148

s0960 benjamin william mkapa high school
div-i = 5 div-ii = 25 div-iii = 74 div-iv = 263 fld = 282

s3561 salma kikwete secondary school
div-i = 3 div-ii = 8 div-iii = 27 div-iv = 119 fld = 150

imekuwaje hawa watu walipewa shule hizi kwa majina yao?ni zao au za serikali?wana lipi jema na la kutukuka kuweza kupewa sekondari hizi?mbona sion ya jaji warioba?kaduma je?chachage je?wanahisa.nikiambiwa ni zao hakuna shida.
 
Tatizo ni kwamba serikali yetu inasumbuka zaidi na kuonekana ikitimiza malengo ya milenia (MDGs) ambayo yanaweka mkazo kwenye idadi (quantity) na si ubora. Ndio maana utasikia wakitoa taarifa za idadi ya watoto walioandikishwa, walioko sekondari n.k. Ukichunguza, utaona walengwa wa ujumbe huo zaidi ni taasisi za kimataifa zinazosimamia MDGs ili ziipandishe Tanzania katika chati ya maendeleo na watawala waendelee na ulaji kwa kisingizio kwamba wameshatimiza wajibu. Kwanza, ni nchi "zilizofulia" tu ndizo zinazoendeleza wimbo wa kutimiza MDGs. Kwa walio makini na maendeleo ya dhati MDGs sio mwongozo wao. Kama kuna Watanzania wanaopokea ujumbe huo ni wale ambao bado mazuzu.

Kwa kiasi kikubwa, shule zenyewe za kata zinajengwa kwa michango inayotozwa ki-nguvu toka kwa wananchi. Ni kipi hasa serikali inachofanya hata kujivunia maendeleo katika elimu? Kunyanyasa wananchi mara mbili? Kuwakamua kimabavu na kisha kuwapa elimu uchwara?
 
Hii serikali imeshindwa kabisa... baada ya kuindoa nguvu mitihani ya kidato cha pili nasikia wanampango pia kuwa mtu akifeli kidato cha nne aendelee hadi kidato cha sita.... JANGA LA KITAIFA.
 
Huu ni mkakati maalum kuzifanya Private schools zionekane zinafaulisha na hivyo kuendelea kulikamata soko la ELIMU nchini. Shule nyingi za binafsi ni miradi ya wakubwa nchini na hivyo hizi za serikali zitabaki kama zilivyo kipindi kirefu kijacho. Tumeomba iwepo regulatory board ya ELIMU kama zilivyo EWURA kwa maji na nishati lakini hakuna anayesikia wala kujali.
 
kuna shule kama Mzizima nayo haikuwa na lele mama kwenye wastani na walikuwa wanafanya vizuri.[/QUOTE]

Aisee aahhh kweli ....
umenikumbusha kitu.....duh.. hivi vp hawa jamaa wa Mzizima siku hizi wapo vizuri au wameshuka?
 
naona vipaji maalumu viwe vinasoma pale YUSUF MAKAMBA SEC, huyu babu yetu kipenzi ametoa vipaji zero 134 tu.

(kuna watu wanadhan elim ni piga domo na data za uongo uongo kwamba tumekuza elimu, tumekuza elim )
Sio 134 ni 314 ndio waliopata vipaji ziro.
 
Huu ni mkakati maalum kuzifanya Private schools zionekane zinafaulisha na hivyo kuendelea kulikamata soko la ELIMU nchini. Shule nyingi za binafsi ni miradi ya wakubwa nchini na hivyo hizi za serikali zitabaki kama zilivyo kipindi kirefu kijacho. Tumeomba iwepo regulatory board ya ELIMU kama zilivyo EWURA kwa maji na nishati lakini hakuna anayesikia wala kujali.

hapo kwenye red, kuwa mkweli kwa kwa nafsi yako, tatizo sio hilo maana hata EWURA ipo lakini watu bado wanachakachua mafuta na yanapanda bei kila kukicha.

cha muhimu ni serekali ikubali mpango wao wa kisiasa umeshindwa na kuka chini kutafakari nini wafanye kuikomboa elimu na watoto wanaopotezewa mda kwenye majengo yaliyobatizwa kuitwa shule.
 
we chipukizi utakuwa umesoma Rubya Seminary. Nakumbuka darasa la 6 rutabo seminary tulikuwa45, form one tukabaki35 na form 4 tukabaki28. Mkuu kama kweli niPM tupige story kidogo. Nakumbuka enzi zetu kabla ya kuanza kwenye mtihani nusu saa kabla mko mmekaa tayari,wasimamizi wanagawa pepa,na kusubiri kuufunga peke yao. Nasema peke yao sababu wanafunzi walikuwa wanamaliza mtihani na kutoka nje lisaa au nusu saa kabla ya muda kuisha,kama wanafanya test vile! Maswali lainiii alaf mnasubiri one. Muogo mchungu anajidanganya tu! Wale wale waseminari ndo ma lecturer na tutorial assistants SAUT, UDSM ,IFM ,USTAWI nk. Wengine ni Auditors kpmg,e&y,pwc n.k wakikwepa hapo wanakuwa wanasheria mashuhuri na ma engineers! Yan seminary noma,cheza mbali moto wake unajulikana.
I hate seminaries 4 shoo........walinitimua kwa kutungua pera bila ruhusa....na majina yao ya IUS..ALBERTUS,ALLEXIUS,APPOLONIUS,CASSIUS,EVODIUS,FRATERINUS,HILARIUS
 
Hii serikali imeshindwa kabisa... baada ya kuindoa nguvu mitihani ya kidato cha pili nasikia wanampango pia kuwa mtu akifeli kidato cha nne aendelee hadi kidato cha sita.... JANGA LA KITAIFA.

kwa mujibu wa aliyekuwa waziri wa elimu j.maghembe,mpango huo utaanza mwaka 2012,ukiingia std 1 ni mpaka form 4,hakutakuwa na vizuizi vya mitihani....teh teh teh!
 
wenzetu mbona safari hii hamchangii hoja kwa jazba?Si mlitaka hata kujitoa mhanga ndani ya JF mnaposikia habari zenu humu JF.Jamani bado mpo nyuma kielimu hamjaweza kufikia hatua ya kutaka usawa.Angali matokeo ya shule zenu zoooote zilivyofanya vizuri katika kufeli
 
Back
Top Bottom