Matokeo ya Jimbo la Bumbuli yana Utata

Matokeo ya Jimbo la Bumbuli yana Utata

Status
Not open for further replies.
Invisible tusaidie kisemwacho kwenye huu kama ni cha kweli ili nijue hatua za kuchukua

Maana siwezi kukaa foleni ya bvr siku tatu alafu watu wanapika matokeo!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kama hizo ndio Fact na ushahidi tulionao nazo kuhusu uchakachuaji basi tuandike tumeumia.
Ulichopost ni nonsense, kwa sababu hapo haioneshi hizo za ubunge ni kura za maoni au ni kura za mwaka gani, hakuna detail yoyote, kama umekosa sahihi na mhuri, basi angalau usingesahau kuweka tarehe na vyama vya hao wagombea
 
Invisible tusaidie kisemwacho kwenye huu kama ni cha kweli ili nijue hatua za kuchukua

Maana siwezi kukaa foleni ya bvr siku tatu alafu watu wanapika matokeo!!!!!!

Hiki kinachoandikwa kuhusu matokeo ya Bumbuli ni uongo na wanaolishadidia wanajua kuwa ni uongo. Ila wanapata wasaa wa kujifurahisha kidogo. Jiulize kwa nini hawaweki nakala za matokeo ya Ubunge hapa kama yalivyowekwa sahini na "returning officer" wa jimbo?

uongo, hila, gilba vina mwisho. Ni suala la muda tu.
 
Hadi hapo sie tunawaamini tume!!!!!! ndio tuliowapa dhamana.......huna ushaidi mzushi tu wewe

We poyoyo acha ujinga, haiwezekani watu 24,000 wakampigie kura rais halafu wasipige kura za ubunge, hapo kuna uchakachuaji wa dhahiri..! Legeza ubongo japo kidogo. Ukitaka ushahidi zaidi ya hayo matokeo aliyo yapost jaribu kutafuta matokeo ya ubunge.
 
Kama hizo ndio Fact na ushahidi tulionao nazo kuhusu uchakachuaji basi tuandike tumeumia.
Ulichopost ni nonsense, kwa sababu hapo haioneshi hizo za ubunge ni kura za maoni au ni kura za mwaka gani, hakuna detail yoyote, kama umekosa sahihi na mhuri, basi angalau usingesahau kuweka tarehe na vyama vya hao wagombea
Hamna ukweli wowote hapo--- ni matokeo ya uchaguzi wa kura za maoni CCM! Angalia hiyo karatasi kwa juu kuna email ya CCM Wilaya jamaa amesahau ku-edit: The Boss

attachment.php


Original form ni hiyo hapo juu saa jamaa kwa haraka haraka zake akasahau hata kuweka angalau sahii za kufoji kwenye hiy fomu aliyoweka yeye!!!
 
We poyoyo acha ujinga, haiwezekani watu 24,000 wakampigie kura rais halafu wasipige kura za ubunge, hapo kuna uchakachuaji wa dhahiri..! Legeza ubongo japo kidogo. Ukitaka ushahidi zaidi ya hayo matokeo aliyo yapost jaribu kutafuta matokeo ya ubunge.

RAIS JPM....tukulete limao?
 
Wapiga kura urais 44,011 ubunge 20,522 tofauti 23,489 .Hawa watu zaidi 23,489 waliompigia magufuli wametoka wapi?
Jisikie aibu kuleta uongo kwenye jamvi na kuambatanisha na document feki! Usivyo makini ukasahau hata kuweka japo saini za uongo! Tangu lini fomu ya matokeo ikakosa sahihi?!
 
kwenye haya matokeo kibwagizo cha HAKUNA KURA ZILIZOHARIBIKA ujue kuna kamchezo. sehemu zote zilizotangazwa hivyo\\

tafakari
 
Naona hata kiwango chako cha elimu ni duni!

Duh, wewe ni aina ya watu ambao wanadhani kuwa na elimu kubwa ya darasani ndo kumaliza yote duniani, na kumbe kiuhalisia huna msaada wowote kwa jamii yako, Unabakia kujidai eti mi nimesoma bhanaaa!
 
KipimaPembe, ingawa kuna chumvi imeongezewa bado kuna harufu ya uchakachuaji kwenye matokeo ya Bumbuli. Ukiangalia kwenye kura za Urais wapiga kura 44 011. Kura zote zilipigwa sawasawa kwa na hakuna hata kura mmoja iliyoharibika. Ila kwenye kura za Ubunge kuna kura 169 zilizoharibika. Swali la kujiuliza inakuwaje hawa watu smart wa Bumbuli wanaweza kupiga kura vizuri za Urais ampampo karatasi ina wagombe 8 halafu kati yao wapiga kura 169 wafanye makosa kwenye kuchagua watu 2 tu!! Kwa literacy level ya nchi yetu siaamini kama watu 44 000 wanaweza kupiga kura bila kura hata moja kuharibika. Hata kwenye NEC ya CCM tumeshudia kura zikiharibika kila siku!!
 
Last edited by a moderator:
msimlaumu yule babu kabanwa balaa adi chooni anapelekwa matokeo analetewa asome tu sio kuulizia yaliko toka
 
Leo wametoa mpya Lubuva katangaza jimbo la TUNDURU KASKZN(60029) akampisha makamu aendelee,kumbe makamu nae anayo fomu ya TUNGURU KASKAZN akaanza kusema jumla ya kura ni ELFU TISINI NA....... Ghafla lubuva akamwambia jimbo hilo tayar nshatangaza, ile fomu ya pili ikawekwa pemben.
 
Nimesikia matokeo jimbo la Mbagala nmepata kizunguzungu.

Asilimia zimezidi 100

Na kawe pia
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom