Matokeo ya Form four 2007

Mimi nilifanikiwa kuangalia jana usiku na pia leo asubuhi. Pamoja na tatizo
la NECTA lakini tatizo ni la nchi nzima maana uplink ya kutoka nje ya TZ capacity yake ni ndogo.

Mimi nikiwa nyumbani ni slow lakini napata, walioko TZ wanashindwa kabisa pamoja na kwamba server ziko hapo hapo jirani.
 
St. Mary wanaongoza kwa kutoa 10 bora kitaifa.. siri yao ni nini?

Ama kweli wewe ni mzee tena wa kijijini. Nani aliyekwambia kuwa st. Marys wanaongoza? Shule inayoongoza haiitwi St Mary, ina itwa St. Francis, tena ya wasichana watupu
 
Nina matokeo ya Marian na st. Francis kama mtu anataka. Nitumie PM. Naona hapa attachment ya htm haikubali.
 
damn,nimeangalia kwa makini zile shule ambazo matokeo yake ni mazuri kwa miaka mingi ndio zile zile tuu zinazoendelea kutoa matokeo mazuri na zile za kufeli ni zile zile tuu,naona culture ya kufeli na kufaulu ni ile ile tuu na sijaona turnaround yeyote kwa sample niliyochukua...ila big up kwa vijana wangu wa mzumbe na mzizima naona wanaendeleza,na vipi jamaa wa website yaani wanaweka matokea utafikiri wanabadika ubaoni yaani hakuna details zozote na wala huwezi kutafuta shule unayotaka kirahisi au jina la mtu huwezi just search yaani it can take you forever kutafuta matokeo,jamani its time watu wafanye kazi sio kulipua lipua huku wakilipwa ...inaboa sana!
 
damn,nimeangalia kwa makini zile shule ambazo matokeo yake ni mazuri kwa miaka mingi ndio zile zile tuu zinazoendelea kutoa matokeo mazuri na zile za kufeli ni zile zile tuu,naona culture ya kufeli na kufaulu ni ile ile tuu na sijaona turnaround yeyote kwa sample niliyochukua...ila big up kwa vijana wangu wa mzumbe na mzizima naona wanaendeleza,na vipi jamaa wa website yaani wanaweka matokea utafikiri wanabadika ubaoni yaani hakuna details zozote na wala huwezi kutafuta shule unayotaka kirahisi au jina la mtu huwezi just search yaani it can take you forever kutafuta matokeo,jamani its time watu wafanye kazi sio kulipua lipua huku wakilipwa ...inaboa sana!

Koba,

Najua wangeweza kuweka kwenye format nzuri zaidi lakini sidhani kama kutafuta shule ni tatizo maana shule zote ziko kwenye page moja. Unaweza kutumia CTRL f au find na uka search shule unayotaka.

Mimi tatizo naona ni speed ambayo ni ndogo sana. Ndio maana watu wengi wanaendelea ku host sites zao nje ya Tanzania maana kwa speed hiyo ni balaa tupu.
 
Siku hizi Waschana wanakuja juu kweli!

Yet ktk Vyuo Vikuu less than 25% ni wanawake!

Si unajua tena,
...wanafukuzwa shule kwa mimba wanazopewa na wanaume
...wengine wanaolewa na majukumu yanawazidi
...wanawake wengi ndio 'primary' katika shughuli za nyumbani, saa ngapi wataenda shule...?
...wanawake wengine wanaogopa kwenda shule maana wanahofia kutopata waume, kwa hofu ya kusoma kuliko wanaume(believe me, hii myth bado ipo very much at large)
...wapo waume wengine wanawasisitiza kinamama waache shule, ili watunze watoto, kina bibi, ng'ombe, you name it.
 
Si unajua tena,
...wanafukuzwa shule kwa mimba wanazopewa na wanaume
...wengine wanaolewa na majukumu yanawazidi
...wanawake wengi ndio 'primary' katika shughuli za nyumbani, saa ngapi wataenda shule...?
...wanawake wengine wanaogopa kwenda shule maana wanahofia kutopata waume, kwa hofu ya kusoma kuliko wanaume(believe me, hii myth bado ipo very much at large)
...wapo waume wengine wanawasisitiza kinamama waache shule, ili watunze watoto, kina bibi, ng'ombe, you name it.

Kisura,

Wewe u mwanamke? Basi ni wanawake wachache wako realists na kuongea ukweli kama wewe!

Ofsini kwangu akina mama wote wenye Masters na PhD only 30% are married- or wameachika n.k! Wale wenye elimu kidogo- masecretary n.k wote wameolewa!

Ingekuwa poa basi wakishaolewa ktk umri huo wa 20s basi waume zao wawaendeleze na kuwapeleka shule!

Kweli ktk mila zetu Tz- raha ya mwanamke ni pamoja na kuolewa na kuwa na mme na watoto wake. Saasa hii huwa poa kama ana elimu na kazi- bahati mbaya one can not get both!
 
Mzalendohalisi, sitaki kuleta mtafaruku hapa, ila, the Logic is so simple. Often times, kama huna elimu, utategemea mwanaume/mume kwa ushauri, matunzo n.k , na utaendelea kukaa kwenye ndoa hata ukiletewa mke wa tatu. Mwanaume ndio anayefanya maamuzi yote ndani ya nyumba. Utamaduni wa mwafrika pia umetufundisha haya.

Katika dunia ya leo, mambo yamebadilika, kina mama walioelimika, wana-tend kuwa na sauti, na ukiwa na sauti ndani ya nyumba, mnakuwa mafahali wawili, namna hiyo hamuwezi, au itawawia ugumu kukaa zizi moja. Ndio maana waona wakina mama walioenda shule, wengi wao wameachana na wanaume zao kwa sababu kama hizo. Kuna walioweza kuvuka hii-challenge, ila wengi wetu na kwa weakness za binaadamu, wameshindwa kuvumilia, hivyo ndoa kuzivunja.
 
Mzalendohalisi, sitaki kuleta mtafaruku hapa, ila, the Logic is so simple. Often times, kama huna elimu, utategemea mwanaume/mume kwa ushauri, matunzo n.k , na utaendelea kukaa kwenye ndoa hata ukiletewa mke wa tatu. Mwanaume ndio anayefanya maamuzi yote ndani ya nyumba. Utamaduni wa mwafrika pia umetufundisha haya.

Katika dunia ya leo, mambo yamebadilika, kina mama walioelimika, wana-tend kuwa na sauti, na ukiwa na sauti ndani ya nyumba, mnakuwa mafahali wawili, namna hiyo hamuwezi, au itawawia ugumu kukaa zizi moja. Ndio maana waona wakina mama walioenda shule, wengi wao wameachana na wanaume zao kwa sababu kama hizo. Kuna walioweza kuvuka hii-challenge, ila wengi wetu na kwa weakness za binaadamu, wameshindwa kuvumilia, hivyo ndoa kuzivunja.

Kisura, nikubaliane na wewe katika hili....ninachoona mimi ni kuwa bado suala la kuona kuwa unaweza kuelimika kama mwanamke hadi kuwa profesa na bado ukaendeela kuwa 'mwanamke' linawashinda wengi...pamoja na udhaifu wa kawaida wa kibinadamu, nilitegemea pia elimu iwasaidie kuepuka peer pressure ambayo pia inachangia kuvunjika kwa ndoa za kisomi in the pretext ya mafahali wawili.....

Lakini bravo kwa wale wote ambao wako na waume zao kama wanawake na sio 'wanaume'
 
Kisura, nikubaliane na wewe katika hili....ninachoona mimi ni kuwa bado suala la kuona kuwa unaweza kuelimika kama mwanamke hadi kuwa profesa na bado ukaendeela kuwa 'mwanamke' linawashinda wengi...pamoja na udhaifu wa kawaida wa kibinadamu, nilitegemea pia elimu iwasaidie kuepuka peer pressure ambayo pia inachangia kuvunjika kwa ndoa za kisomi in the pretext ya mafahali wawili.....

Lakini bravo kwa wale wote ambao wako na waume zao kama wanawake na sio 'wanaume'

Ni kweli unachosema, na hii ndio haswa kiini cha tatizo! Inabidi kuelewa nafasi zetu katika jamii, si lazima kushindana na wakina-kaka/baba kwenye kila kitu. Kila mmoja ana sehemu yake katika jamii. Ila tukiwa huku kwenye workplaces, its' a whole different ball game.
It's ones choice anyhow...depending on circumstances, sometimes they cannot help themselves!
 
Kisura, nikubaliane na wewe katika hili....ninachoona mimi ni kuwa bado suala la kuona kuwa unaweza kuelimika kama mwanamke hadi kuwa profesa na bado ukaendeela kuwa 'mwanamke' linawashinda wengi...pamoja na udhaifu wa kawaida wa kibinadamu, nilitegemea pia elimu iwasaidie kuepuka peer pressure ambayo pia inachangia kuvunjika kwa ndoa za kisomi in the pretext ya mafahali wawili.....

Lakini bravo kwa wale wote ambao wako na waume zao kama wanawake na sio 'wanaume'

NakuliliaTanzania, Kisura,
Pokeni 5!

Mimi ni mwaname- kwa kweli wale ambao wameweza kuendelea na ndoa zao kwa kuwa mke na mama pamoja na elimu yao nami nawapengeza!

Taabu kubwa ya maisha ya Ulaya ni ndoa hazidumu kwa sasa- na pamoja na kuwa mambo yanabadilika- sisi kama Watz we are proud of marriage as important institution for welfare and love of couples na haswa watoto!
 
hivi jamani Mzumbe na Ilboru wapoje ktk matokeo haya, mie nashindwa kupata hiyo web ya NECTA..........kama alumni wa hizo shule mbili, ningependa kujua, kulikoni!!
 
Ama kweli wewe ni mzee tena wa kijijini. Nani aliyekwambia kuwa st. Marys wanaongoza?

Ama kweli sisi wazee wa vijijini tunapuuzwa.Hivi mtu wa mjini ndio mwerevu siku zote?

Jamani kuwa mjini si kujua kila kitu sana sana ni kuendekeza ufisadi tu,pia jitahidi kuheshimu wazee maana pamoja na wewe kuwa mjini baba yako au babu yako yuko kijijini na ndio aliyokupa haya maarifa unayotumia kumdhihaki.
Mzee Mwanakijiji nafikiri amekusikia maana nae umemlenga
 
Ama kweli sisi wazee wa vijijini tunapuuzwa.Hivi mtu wa mjini ndio mwerevu siku zote?

Jamani kuwa mjini si kujua kila kitu sana sana ni kuendekeza ufisadi tu,pia jitahidi kuheshimu wazee maana pamoja na wewe kuwa mjini baba yako au babu yako yuko kijijini na ndio aliyokupa haya maarifa unayotumia kumdhihaki.
Mzee Mwanakijiji nafikiri amekusikia maana nae umemlenga

Nadhani yule maMkwe alikuwa anatania tu.....na huyo MKJJ ana uwezo wa kusahihisha post yake kwani ipo toka jana na watu kadha wa kadha wamemkosoa. Kwa makusudi kaiacha na nina amini ana lake jambo!!!
Buraza, clearly ule ulikuwa utani, lakini naona labda wataka beef na huyo dada. Ma-weekend haya, just take a "chill pill" kwa taarifa nilizo nazo haina side effects!!.
 
jamani mie nnauliza hivi kule kwetu zanzibar mbona matokeo mabaya ?

kulikoni hausomi hatuna walimu, tumeweka siasa mbele au ndio kama inavyosemwa kuna hujuma ya kuwahujumu wa zanzibari kielimu ?

maana ss ndio daima matiro
 
Ongeeni yote lakini hawa watoto wa kike (St. Francis) hawaeleziki!

CSEE 2007 EXAMINATION RESULTS

S0239 ST.FRANCIS GIRLS SECONDARY SCHOOL


DIV-I = 87 DIV-II = 1 DIV-III= 0 DIV-IV = 0 FAIL= 0

http://www.moe.go.tz/NectaResults/MATOKEO%20FORM IV 2008/csee2007/S0239.HTM

Halafu kuna wengine wanafikiri ukiweka prefix ya St. katika jina la shule basi kufaulu nje nje!
Chekini hii! S2276 ST. IRENE MEDELI SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III= 2 DIV-IV = 8 FAIL= 9
 
Hivi Mitihani ya sekondari ni swala la Muungano? Nilidhani elimu ya Juu tu ndo swala la Muungano! Inakuwaje matokeo pia yana shule za Visiwani na Bara?

Naomba mwanga zaidi
 
Back
Top Bottom