Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,267
- 3,647
Mwaka 2001 yalitoka 24.12 nikawa nimechaguliwa peke yangu kata nzima, miaka 21 baadae mimi ndiye masikini kuliko wote tuliosoma darasa moja.







Mwaka 2001 yalitoka 24.12 nikawa nimechaguliwa peke yangu kata nzima, miaka 21 baadae mimi ndiye masikini kuliko wote tuliosoma darasa moja.







Mwaka huu yamechelewa sijui kuna siri ganiMambo vipi humu jukwaani natumaini mko poa wote,
Nije kwenye swali, naomba kuuliza je? Matokeo ya darasa la saba kwa mwaka huu 2022 yatakuwa yametoka ama bado?
Maana nimeingia ukurasa wa Necta balaza la mitihani hakuna kitu sana sana nimekuta ya 2019,2020,2021 basi, je yatakuwa bado,
Yametoka tayari.Nije kwenye swali, naomba kuuliza je? Matokeo ya darasa la saba kwa mwaka huu 2022 yatakuwa yametoka ama bado?
https://matokeo.necta.go.tz/psle2022/psle.htm
Hii nchi bado tuna safari ndefu sana.