matokeo ya BSS 2012..tetesi za mwanaJF kuwa kweli

matokeo ya BSS 2012..tetesi za mwanaJF kuwa kweli

Nashindwa kuamini hivi kwanini Wababa nyota yake ilizimika ghafla dakika kadhaa kabla ya kuitwa mshindi? Nashawishika kuamini kwamba wimbo wake wa "...................kubaka mtoto na ule wa Seya" vilimfilisi ghafla. Ninahisi kuna mkono wa Serikali. N A W A S I L I S H A.
 
dalili zilionyesha huyu dada angepewa lakini kachemka katika kuchagua wimbo wa mwisho.
Yaonyesha majaji walijadili sana juu ya hili
 
Matokeo hayapangwa wala nini. Yule dogo (Walter)mkali, sema Salma yule ameimba muda mrefu na Dingi wake kwaiyo amezoea japo anaweza. Na NYOTA inachangia, mbona kina Nshoma pia wakali?
 
Kwa mmshiriki niliyekuwa namkubali ni Nsami Nkwabi ila baada ya kutolewa na sauti yake iligoma kabisa kuimba hivyo kura yangu ikaenda kwa Salma mtoto yuko vzr sana, Ingawa Walter naye alistahili sina kipingamizi kwa hilo. Mi nadhani tushawapata wawashikirishi wa Tusker Project Fame.Walter, Salma, Nsami kwa wale wanaoandaa wasanii wa kwenda kutuwakilisha ili nalo walifanyie kazi, sio wapeleke wasanii kwa rushwa hatimaye wakaboronge.
 
Back
Top Bottom