The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Hiki kiama jama....Tayari nimemtaarifu Mod juu ya Kufuru ya Karagwe Kagera ambako nasikia ni kilio na kusaga meno kwa CCM
Wakazi wa Oysterbay ni wanuifakaji wakubwa wa mtandao wa CCM. Hayo matokeo hayashangazi.
ndugu yangu naona furaha imepanda juu. sasa hivi ni saaa5 usiku ha ha haKweli mtu wangu,kwani hapa ni mzuka tuuuu,jamani hamwezi amini uku ni saaaakumi kamili usiku naendelea kusubilia matokeo
kweli mtu wangu,kwani hapa ni mzuka tuuuu,jamani hamwezi amini uku ni saaaakumi kamili usiku naendelea kusubilia matokeo
Wakazi wa Oysterbay ni wanuifakaji wakubwa wa mtandao wa CCM. Hayo matokeo hayashangazi.
hapo kwenye red ninasmell kitu flan hiv, hilo gap under normal circumstance ni impossible. labda vijijini inaweza kutokea lakin siyo mjin.
Kwa matokeo hayo unategemea nini pale? kama sio Prof. Lipumba basi ni Dr. Slaa Mkwere hana chake paleVipi kuhusu uraisi huko?
Ubunge Jimbo la sumve
Ngula
CUF 800+
CCM 20+
Malya
CUF 800+
CCM 30+
Sumve
CUF 700+
CCM 20+
Maligisu
CUF 600+
CCM 300+
Kadashi
CUF 500+
CCM 100+
bado kata chache kufungwa kwa mjadala; correction to precision will be made
Sishangazwi na hawa wa Oysterbay kuibeba CCM, mshangao wangu upo kwa wa Buguruni na Manzese kwani nao pia wamewabeba, wana nini hawa watu?