chadema ni 61 sio 6
Asavali, duh!
chadema ni 61 sio 6
hapo kwenye red ninasmell kitu flan hiv, hilo gap under normal circumstance ni impossible. labda vijijini inaweza kutokea lakin siyo mjin.
........kwani yana nini!hivi haya matokeo yanayotangazwa hapa chanel ten vip?
i AGREE.:nono:hapo kwenye red ninasmell kitu flan hiv, hilo gap under normal circumstance ni impossible. labda vijijini inaweza kutokea lakin siyo mjin.
Counting result for president CCM Matokeo ya Rais
Sumve Sekondari A1:
CCM - 16
CHADEMA - 15
CUF - 1
Sumve Sekondari A2:
CCM - 16
CHADEMA - 19
CUF - 0
Sumve Hospital:
CCM - 42
CHADEMA - 49
CUF - 6
APPT - 1
Ukerewe Halmashauri
CCM - 74
CHADEMA - 97
CUF - 2
APPT - 2
TLP - 1
NCCR - 1
UPDP - 0
NYAMAGANA (Muhandu):
CCM - 72
CHADEMA - 66
CUF - 2
Kawe oysterbay
RAIS
CCM 67
CUF 6
CHADEMA 61
IIMBO-KAWE,KATA-MAKONGO.
URAIS,
TOTAL 198,
ZIMEHARIBIKA 7,KURA HALALI 191,CCM-47,CHADEMA 142,CUF 2.
wana jf nimepata taarifa kutoka source za kuaminika huko shinyanga kuna maeneo ya majengo ya zamani kuwa wanaume wa maeneo hayo leo waliwawekea ngumu wake zao kwenda kupiga kura kwani kutokana na uzoefu wao wanawake wengi huwa wanaipigia ccm sasa leo wamepigwa stop hakuna kutoka, ni wanaume tu ndo wengi sana wao walikuwa kwenye mistari katika kuleta mabadiliko. Hali hii ilimfanya mwenyekiti wa mtaa ambaye ni mwanamke akisema wazi kuwa mwaka huu kwa shinyanga mjini kazi ni ngumu. Tusubiri matokeo
hapo kwenye red ninasmell kitu flan hiv, hilo gap under normal circumstance ni impossible. labda vijijini inaweza kutokea lakin siyo mjin.
Ubunge Maswa Kata ya kulimi Shibuda anaongoza,
Tena tuwe na formati hii:Jamani wa JF muwe SERIOUS. Huwezi kutuambia anaongoza fullstop. Give details: Jimbo 1: Kituo A: CCM=XXX, CHADEMA=YYY, CUF=ZZZ, etc.