man dizy
Member
- Oct 6, 2019
- 11
- 12
UBORA WA MBEGU YAKO NDIO UNAAMUA UBORA WA MAVUNO YAKO
MBEGU YA TO 135 F1
Sifa Kuu
1. Ina matunda Makubwa na Magumu.
2. Inazaa Sana....Hadi kg 10 kwa mmea mmoja ikitunzwa vizuri
3. Inastahimili ugonjwa wa mnyauko wa Bacteria (Bacterial Wilt resistance)
4. Inastahimili ungojwa wa virus usababishwao na inzi weupe....pia hujulikana Kama Rasta au Kitaalamu unaitwa Tomato Yellow Leaf Curl Virus-TYLCV
5. Inastahimili ugonjwa wa mnyauko mcheleo, Late Blight
Na Bei yake ni Nafuu Sana. Kwa Mkulima gramu 10 ni TZS 60,000. Ekari moja inatakiwa Gram 50. Kwa order wasiliana na Bwanashamba Selerine 0765359880
Hii nyanya ikitunza vizuri kwa hekari moja unapata mpaka tenga 800+
Space mche na mche sentiment 45 na line na line sentimita 100
Kusia kwenye kitalu siku 21 inakuwa tayari kuhamishia shambani na baada ya hapo siku 60-65 unaanza kuvuna
Inatoa michumo 10+
Sent using Jamii Forums mobile app
MBEGU YA TO 135 F1
Sifa Kuu
1. Ina matunda Makubwa na Magumu.
2. Inazaa Sana....Hadi kg 10 kwa mmea mmoja ikitunzwa vizuri
3. Inastahimili ugonjwa wa mnyauko wa Bacteria (Bacterial Wilt resistance)
4. Inastahimili ungojwa wa virus usababishwao na inzi weupe....pia hujulikana Kama Rasta au Kitaalamu unaitwa Tomato Yellow Leaf Curl Virus-TYLCV
5. Inastahimili ugonjwa wa mnyauko mcheleo, Late Blight
Na Bei yake ni Nafuu Sana. Kwa Mkulima gramu 10 ni TZS 60,000. Ekari moja inatakiwa Gram 50. Kwa order wasiliana na Bwanashamba Selerine 0765359880
Hii nyanya ikitunza vizuri kwa hekari moja unapata mpaka tenga 800+
Space mche na mche sentiment 45 na line na line sentimita 100
Kusia kwenye kitalu siku 21 inakuwa tayari kuhamishia shambani na baada ya hapo siku 60-65 unaanza kuvuna
Inatoa michumo 10+
Sent using Jamii Forums mobile app