Wengi watasema ongezeko la ufaulu lina tija. Ila kwa uhalisia ni bado anguko. The term "kufaulu" kwa mujibu wa NECTA ni dv 1 to 4. Ila mazingira yamwanafunzi wa div 3 with less credits (less than 3 C) katika soko la elimu ya TZ ni less considered if not. Kwa takwimu hizo 42% ni div 0 not far to 58% ya mjumuiko wa div 1 to 4. Bado kuna kirusi katika elimu ya watoto wet. Si ishara njema kuwa na 42% ya watahiniwa kupata zero.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.