Kimboka
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 353
- 163
Muda huu makao makuu ya necta matokeo yanatangazwa
![1888554_848291181851968_1402328781_n.png](/proxy.php?image=https%3A%2F%2Ffbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net%2Fhphotos-ak-ash3%2Ft1%2F1888554_848291181851968_1402328781_n.png&hash=c1e59c148715ef5f7d4f86005e5e3499)
UFAULU WAPANDA KIDATO CHA IV 2013.
Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.
Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili (67.77%), na wafanya vibaya zaidi Basic Mathematics (17.78%).
Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.
Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili (67.77%), na wafanya vibaya zaidi Basic Mathematics (17.78%).
WANAULIZIA LINK HIYO HAPO
http://41.188.155.122/CSEE2013/olevel.htm
Kwa mfano:
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S0239 ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 81 DIV-II = 8 DIV-III = 1 DIV-IV = 0 DIV-0 = 0
link hiyo chini
http://41.188.155.122/CSEE2013/s0239.htm