Ninamdogo Wangu Amemaliza Form six Amesoma CBG lakini Matokeo yake ni kama ifuatavyo
Chem:E
Bios:E
Geog D
Bam:E
Gs:E
Amekosa sifa zakwenda chuo kikuu so inabidi akasome diploma na Muhusika Anapenda kusoma course ya Clinical Medicine so Binafsi sinauelewa juu ya vyuo vya sayansi Naombeni mnisaidie ushauri ni vyuo gani vya serikali vya sayansi ambavyo ni Vizuri naweza kumfanyia Aplication Maana Muhusika yupo jeshini kwa mujibu wa sheria.
Natanguliza shukrani wadau.
Chem:E
Bios:E
Geog D
Bam:E
Gs:E
Amekosa sifa zakwenda chuo kikuu so inabidi akasome diploma na Muhusika Anapenda kusoma course ya Clinical Medicine so Binafsi sinauelewa juu ya vyuo vya sayansi Naombeni mnisaidie ushauri ni vyuo gani vya serikali vya sayansi ambavyo ni Vizuri naweza kumfanyia Aplication Maana Muhusika yupo jeshini kwa mujibu wa sheria.
Natanguliza shukrani wadau.