Msaada kuhusu course ya clinical medicine na laboratory tech ipi bora?

Msaada kuhusu course ya clinical medicine na laboratory tech ipi bora?

Pure Scientific

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
716
Reaction score
644
Habari za usiku..
Nimemaliza form four mwaka 2015 na nilipata div two ya 21 kwa upande wa science phy-C chem-C bios-C math-D english-D

Hivyo kwa mwaka huu nimeaplly vyuo vya afya vya serikali kwa course ya clinical medicine na laboratory tech...

Wakuu kwa matokeo haya ninaweza chaguliwa vyuo vya serikali?

Jambo lingine nilofikiria kuapply technical collage kama DIT,MUST course ya maabara kwa directly entry ili kama ikitokea sijachaguliwa serkalini nije kusoma hivi vyuo...

Na pia jambo lingine wakuu nimeaplly vyuo viwili vya private ambapo ni machame na st john je taarifa zangu haziwezi kuleta mkanganyiko mpaka nacte wakanitoa kwenye system kwa upande wa serikali...

Naombeni mawazo yenu wakuu maana nimechanganyikiwa na sihitaji kupoteza tena mwaka nyumbani...
 
Mkuu kimsingi zote ni course nzuri, but me nakushauri nenda clinical medicine!
 
Habari za usiku..
Nimemaliza form four mwaka 2015 na nilipata div two ya 21 kwa upande wa science phy-C chem-C bios-C math-D english-D

Hivyo kwa mwaka huu nimeaplly vyuo vya afya vya serikali kwa course ya clinical medicine na laboratory tech...

Wakuu kwa matokeo haya ninaweza chaguliwa vyuo vya serikali?

Jambo lingine nilofikiria kuapply technical collage kama DIT,MUST course ya maabara kwa directly entry ili kama ikitokea sijachaguliwa serkalini nije kusoma hivi vyuo...

Na pia jambo lingine wakuu nimeaplly vyuo viwili vya private ambapo ni machame na st john je taarifa zangu haziwezi kuleta mkanganyiko mpaka nacte wakanitoa kwenye system kwa upande wa serikali...

Naombeni mawazo yenu wakuu maana nimechanganyikiwa na sihitaji kupoteza tena mwaka nyumbani...
Nenda Clinical Medicine kijana ni nzuri zaidi.Take home hapa is likely to be higher kwa sababu ya the nature of the institutions you will be working with.
 
Mkuu mbona unaonesha kutojiamini hv vyuo vyote ulivyoomba vya nn kwa ufaulu mzuri lama wako...?
BUT, umetumia sh ngap for total kuapply vyuo vyote hv mkuu...
 
Mkuu mbona unaonesha kutojiamini hv vyuo vyote ulivyoomba vya nn kwa ufaulu mzuri lama wako...?
BUT, umetumia sh ngap for total kuapply vyuo vyote hv mkuu...
Nyingi aisee ila haifiki laki nachofanya naogopa competition.....kwa kuwa watu wanatisha aisee
 
Kwanini unasema hivyo mkuu nipe sababu....lab je napata?
Mimi naomba kuuliza clinical medicine kwa vyuo vya private ada in sh. ngapi? Nina kijana kamaliza f iv 2016 nataka no apply ana Chem C,biol C na Physics D je atapata?pia nataka niombe serikalini. Mwisho wa maombi ni tar ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za usiku..
Nimemaliza form four mwaka 2015 na nilipata div two ya 21 kwa upande wa science phy-C chem-C bios-C math-D english-D

Hivyo kwa mwaka huu nimeaplly vyuo vya afya vya serikali kwa course ya clinical medicine na laboratory tech...

Wakuu kwa matokeo haya ninaweza chaguliwa vyuo vya serikali?

Jambo lingine nilofikiria kuapply technical collage kama DIT,MUST course ya maabara kwa directly entry ili kama ikitokea sijachaguliwa serkalini nije kusoma hivi vyuo...

Na pia jambo lingine wakuu nimeaplly vyuo viwili vya private ambapo ni machame na st john je taarifa zangu haziwezi kuleta mkanganyiko mpaka nacte wakanitoa kwenye system kwa upande wa serikali...

Naombeni mawazo yenu wakuu maana nimechanganyikiwa na sihitaji kupoteza tena mwaka nyumbani...
Ukisoma Bajeti ya Mwaka Jana na Mwaka Huu pia takwimu zinasema Malab technician wanahitajika sana kama mimi nakushauri uende Lab technician hii course watu waliipiga tech sasaiv ina market sana kajipigie huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom