FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Ijumaa iliyopita liliendeshwa jaribio la wakristo wote kutokwenda kanisani ili tuone kitakachotokea. Matokea yanaonyesha kwamba tutapeperusha bendera nusu mlingoti kwa siku 3.
Daah, nimeiona aisee.., aagh..Mkuu uliiona ile coment aliyoitoa yule BEHOLD?
Inasema hivi;
Ngoja Mungu naye afanye jaribio la kulala siku moja tu uone utakua wapi?
Kumbe majibu yamepatikana.
SAWA NA SIKU 3 ZIMEISHA