Math challenge

Given enough time, yes chupa #5 itajaa, kabla ya hapo, itaanza chupa #6 halafu #4, #2, ikifuatia #7,#5,#3 halafu #1.
siyo ....Chupa no 2 haiwezi kujaa hivyo chupa no 6 nayo ni zero .. hata mimi mwanzo nilidhani kama wewe nikajiweka sawa
 
Maji hayaweza kuanza kudondoka kwenye chupa #3 mpaka chupa #2 ijae. Ndiyo maร na nikasema, pressure in fluid acts on it's own level.
Chupa no 2 imezibwa wacha ubishi nilitaka kuoima uwezo wako wa akili ya utafiti hivyo hskuna tone la maji yatakayo ingia no 2 alijatobolewa
 
Mjomba

Fanya hesabu tu achana na physics ujui kuwa unavyo zidi kwenda chini ya bahari pressure inaongezeka licha ya kuwa sawa kila upande ..unajuwa kinyume cha neno explosion?
Unataka kunifundisha physics ya mambo ya implosion kaka? Tuyaache tu hayo.
 
Chupa no 2 imezibwa wacha ubishi nilitaka kuoima uwezo wako wa akili ya utafiti hivyo hskuna tone la maji yatakayo ingia no 2 alijatobolewa
siyo ....Chupa no 2 haiwezi kujaa hivyo chupa no 6 nayo ni zero .. hata mimi mwanzo nilidhani kama wewe nikajiweka sawa
Ok, nimeona hako ka mstari ka blue kwenye chupa #1 na #3, but that can be left open to a lot of interpretation, like reflection and so forth but I digress, let's move on.
 
Use your brain, no calculator
9+1+9+1ร—0+1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ