Kama ni hivyo, kwa nini 4÷2(2-1) tusianze na 4÷2, then tuendelee na expression.?
Hoja yangu ni kwamba, 2(2-1) is a single block, lazima umalizane nayo kwanza kabla ya kwenda popote, regardless ya sign iliyopo nyuma/mbele.
Kanuni ya mabano kwenye magazijuto ina fanya kazi tu kwa vitu vilivyopo ndani ya mabano siyo nje ya mabano ...ukisha kukokotoa vilivyopo ndani ya mabano hapo kinachofuatia ni GAWANYA kisha ZIDISHA
Kama ni hivyo, kwa nini 4÷2(2-1) tusianze na 4÷2, then tuendelee na expression.?
Hoja yangu ni kwamba, 2(2-1) is a single block, lazima umalizane nayo kwanza kabla ya kwenda popote, regardless ya sign iliyopo nyuma/mbele.
Kama nyinyi siyo mambumbumbu nataka mnipe logic ya BODMAS kwanini ilibuniwa kwanini imepangiliwa kwa .pangilio huo je waliamua tu au kuna sababu ...kwanini mabano yatangulie gawanya na kwanini gawanya itangulie zidisha ...kama uwezi kujua sababu basi jua ndiyo maana ujui kwanini hiyo hesabu inafanyika hivyo ...kwanini isiwe MAZITOJUGA au ZIMAGAJUTO NK . kwanini MAGAZIJUTO? ukiweza kufahamu sababu basi msingekuwa unabisha upumbavu na kubishana kipumbavu
Kama ni hivyo, kwa nini 4÷2(2-1) tusianze na 4÷2, then tuendelee na expression.?
Hoja yangu ni kwamba, 2(2-1) is a single block, lazima umalizane nayo kwanza kabla ya kwenda popote, regardless ya sign iliyopo nyuma/mbele.