Mlinganyo wa 1: kila ambaruty mmoja = 20
Mlinganyo wa 2: mayai matatu = 3, yaani kila yai 1 = 1
Mlinganyo wa 3: ndizi sita = 6, yaani kila ndizi 1 = 1
Mlinganyo wa 4: ambaruty = 20, mayai manne = 4, ndizi nne = 4, zingatia alama ya kuzidisha kati ya mayai na ndizi
Umekosea ni kweli una anza kuondoa mabano ila ulichokosea ni kushindwa kujua mabano yamesha kwisha kwa ndani hiyo (3) imesha malizika mabano hapo ndipo ulipo kosea
Mfano (4)+2×3=hayo siyo mabano ya magazi juto...mabano ya magazijuto ndani kunakuwa na equation
Hiki 60÷5(3) na hiki 60÷(5×3) ni vitu viwili tofauti ...ingekuwa hivi 60÷(5×3) basi jibu lako lingekuwa sahihi na langu lingekuwa kosa hivyo umekosea .