Nimelipia kiwandani ALAF karibu na tbcPunguza hasira, andika ukiwa umetulia ili utuambie
Umelipia wapi ?
Kwa nini ulipie huko uliko lipia?
Hujui pa kupeleka malalamiko yako?
Kwani lazima ununue ALafHabari Wana jf nikilipia bati alaf mwezi mmoja uliopita nikataarifiwa bati zinatoka leo nipeleke gari ya kupakia
Nilipeleka gari yangu asubuhi ya leo ila mpaka saa hizi saa mbili usiku
Hii ni kero kwa kweli
Unasubiri bati mwezi mzima? kweli wewe una mahaba na Alaf, mimi niliweka order ya mabati kwenye kiwanda huku maeneo ya mbezi nikayapata kesho yake....nikalipa na kubeba mzigo.Habari Wana jf nikilipia bati alaf mwezi mmoja uliopita nikataarifiwa bati zinatoka leo nipeleke gari ya kupakia
Nilipeleka gari yangu asubuhi ya leo ila mpaka saa hizi saa mbili usiku
Hii ni kero kwa kweli
Zina ubora kwa kweliKwani lazima ununue alaf
Kuna viwanda bora uezeke makuti kuliko kununua bati kwao.Unasubiri bati mwezi mzima? kweli wewe una mahaba na Alaf, mimi niliweka order ya mabati kwenye kiwanda huku maeneo ya mbezi nikayapata kesho yake....nikalipa na kubeba mzigo.
Chief hakuna taasisi inyotengeneza bati bora kama hai ila tatizo ni huu ukiritimba uliopo kisa kuna ubia na watu wa serikaliKwani lazima ununue ALaf
Hakuna taasisi nyingine zinazouza bati.
Ushamba huoo .
Taasisi ziko nyingi zenye huduma nzuri
Na CCs nzuri.
Watu wengine banaaa eti niko alaf toka asubuhi
Nyooooka wewe hauna kazi ya kufanyaa
Hiki wapo vizuri, ni wale wanaofungua ofisi zao mbali na makampuni makubwa ambayo wanakuwa wamefanyia kazi, walikuwa na mchina kama mtaalamu wa kuendesha mtambo wa kuchakata mabati. Ni zaidi ya mwaka rangi haijapauka...Kuna viwanda bora uezeke makuti kuliko kununua bati kwao.
Subiri baada ya miaka mitano utanunua bati mpya.Hiki wapo vizuri, ni wale wanaofungua ofisi zao mbali na makampuni makubwa ambayo wanakuwa wamefanyia kazi, walikuwa na mchina kama mtaalamu wa kuendesha mtambo wa kuchakata mabati. Ni zaidi ya mwaka rangi haijapauka...
Pole sana ila ni kawaida kwa tuliopau Nyumba kwa bati za ALAF.Habari Wana jf nikilipia bati alaf mwezi mmoja uliopita nikataarifiwa bati zinatoka leo nipeleke gari ya kupakia
Nilipeleka gari yangu asubuhi ya leo ila mpaka saa hizi saa mbili usiku
Hii ni kero kwa kweli
Now wanauza sh ngp geji 30Ona sasa wanataka tusubiri mpaka kesho kisa network