captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 626
Bangi hizi, yani ela yangu nihangaike..
No Hurry in Africa,,Habari Wana jf nikilipia bati alaf mwezi mmoja uliopita nikataarifiwa bati zinatoka leo nipeleke gari ya kupakia
Nilipeleka gari yangu asubuhi ya leo ila mpaka saa hizi saa mbili usiku
Hii ni kero kwa kweli
Yakianza kupauka na kutoboka usije kulialia humuUnasubiri bati mwezi mzima? kweli wewe una mahaba na Alaf, mimi niliweka order ya mabati kwenye kiwanda huku maeneo ya mbezi nikayapata kesho yake....nikalipa na kubeba mzigo.
Aisee inabidi wakulipe fidia na usumbufuHabari Wana jf nikilipia bati alaf mwezi mmoja uliopita nikataarifiwa bati zinatoka leo nipeleke gari ya kupakia
Nilipeleka gari yangu asubuhi ya leo ila mpaka saa hizi saa mbili usiku
Hii ni kero kwa kweli
Mzigo ukifika? ALAF nao siku hizi ni store ya kutunza import material? Nilijua wanazalisha.Pole sana ila ni kawaida kwa tuliopau Nyumba kwa bati za ALAF.
Mi nilisubiria 2 week na mzigo wa bati uliofika ulikuwa mchache sana nashukuru walinipigania Nikipata
Endelea kusubiria hakuna namna Mzigo ukifika mwingi utapewa.
Inawezekana ulikuwa kwenye list ya kupata lakini labda Mzigo wa gawio ulikuwa haujatimie. Siyo vizuri upate bundle 7 wakati wewe uliomba bundl 10.
Basi avumilie wateja ni wengiZina ubora kwa kweli
Kwsngu gari ilishafika kwenye mizani network ikagomaPole sana ila ni kawaida kwa tuliopau Nyumba kwa bati za ALAF.
Mi nilisubiria 2 week na mzigo wa bati uliofika ulikuwa mchache sana nashukuru walinipigania Nikipata
Endelea kusubiria hakuna namna Mzigo ukifika mwingi utapewa.
Inawezekana ulikuwa kwenye list ya kupata lakini labda Mzigo wa gawio ulikuwa haujatimie. Siyo vizuri upate bundle 7 wakati wewe uliomba bundl 10.
Hyo kiwanda Ni polirise nakushauri tu chukua gaji 28 mkuuu utanishukuru baadaeUnasubiri bati mwezi mzima? kweli wewe una mahaba na Alaf, mimi niliweka order ya mabati kwenye kiwanda huku maeneo ya mbezi nikayapata kesho yake....nikalipa na kubeba mzigo.
Nilinunua geji 28 kwa 15800 kwa mitaNow wanauza sh ngp geji 30
Nimewatumia hao na nimeshalipia ziada na mzigo haujatokaMatatizo ya hapo kiwandani ukitaka upate mzigo haraka tumia hao madeleva wahapo nje wazoefu wahapo wakati mwingine niutaratibu wawapakiaji ni mbovu
Sasa si uvumilie kama umechagua Alaf mwenyeweHabari WanaJF nililipia bati Alaf mwezi mmoja uliopita nikataarifiwa bati zinatoka leo nipeleke gari ya kupakia.
Nilipeleka gari yangu asubuhi ya leo ila mpaka saa hizi saa mbili usiku.
Hii ni kero kwa kweli
Bei zikoje kwa geji 28?Toa hella zako huko njoo ando nikupe bati Kali na imara mkuu
Kule kwawakataji umepeleka karatasi wanasemaje kusema kweli bat zao ni nzuri japo wachina nao wako powNimewatumia hao na nimeshalipia ziada na mzigo haujatoka
Bati gan ya china ina quality mkuu Hawa alaf hawashikiki sa hiviKule kwawakataji umepeleka karatasi wanasemaje kusema kweli bat zao ni nzuri japo wachina nao wako pow
Kite huku nimepitia nimekwamagetini kisa networkKule kwawakataji umepeleka karatasi wanasemaje kusema kweli bat zao ni nzuri japo wachina nao wako pow
Huko ndo kwenye bati BoraKwani lazima ununue alaf