Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Wana JF tangu nimeachana mpenzi wangu nimejikuta napitia mateso makali sana kuliko yale niliopitia tukiwa kwenye mgogoro mahusiano zaidi kwanii
1. Imefika hatua nakula kwa shida
2. Nalala kwa shida wakati wa usiku.
3. Maumivu makali moyoni ambayo yanakuja na kuondoka
Ni mengi ya kuongea hebi nisaidieni hiliiii
1. Imefika hatua nakula kwa shida
2. Nalala kwa shida wakati wa usiku.
3. Maumivu makali moyoni ambayo yanakuja na kuondoka
Ni mengi ya kuongea hebi nisaidieni hiliiii