Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 32,009
- 64,052
Uanaume ni kung'ang'ana. Haya mambo ya kuacha mtu kisa umeona dalili utafika ule mwaka wa ukame haupati magoma na goma lililo karibu ndiyo ulikimbilia kuliachaHahaha umepatia.. sheria ni ndogo, ukishaona mahusiano hayaeleweki muwahi wewe Kumuacha
Aki ya mama bora kuacha,,, kuliko uachwe .
Hapa nimuhim sana Kucheza na Muda.... kuna point ikifikia huwa nilazima mapenzi yavunjike, usilazimishe kuyatengeneza ,utatumia rasilimali nyingine, bado yatavunjika na utateseka kwa sababu rasilimali zako.