Scolari
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 1,694
- 2,294
Mimi na ww yetu yanaelewekaDuuuh mapenzi hayajawahi kueleweka kuwa yanahitaji nini, poleeeeh sanaaah
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mimi na ww yetu yanaelewekaDuuuh mapenzi hayajawahi kueleweka kuwa yanahitaji nini, poleeeeh sanaaah
Hii nzuri nimeitumia imenisaidia sanaHahaha umepatia.. sheria ni ndogo, ukishaona mahusiano hayaeleweki muwahi wewe Kumuacha
Aki ya mama bora kuacha,,, kuliko uachwe .
Hapa nimuhim sana Kucheza na Muda.... kuna point ikifikia huwa nilazima mapenzi yavunjike, usilazimishe kuyatengeneza ,utatumia rasilimali nyingine, bado yatavunjika na utateseka kwa sababu rasilimali zako.
Lakini maumivu yanakua tofauti na aliyeachwaHivi unajua unaweza ukaacha wewe na bado ukaumia kuliko aliyeachwa
Nguvu ya kuachana na mchuchu sijui aliitoa wapi aiseeHiyo nguvu sasa anaitoa wapi jomoniii,kiumbe dhaifu kama huyuu
It's not always the case mkuuLakini maumivu yanakua tofauti na aliyeachwa
Upo Wapi Kiongozi!!daaah nipo napitia hiyo hali mda huu
Sikiliza Hii UtaelewaKwanza hakuna kuachana katika mapenzi, ni either umeacha au umeachwa, tuanzie hapo
njia panda hapaUpo Wapi Kiongozi!!