Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,179
- 3,539
Baada ya kumvumilia sana mpenzi wangu imefika hatua yamenishinda hivyo natafuta sababu ya mimi na yeye kuachana ambayo nikimuelezea mtu wa karibu atanielewaa
Maana visa na vituko anavyonifanyia maji yamefikia shingoni naona nikiendelea naye huko mbeleni nitakuja kuumia sana hivyo naombeni mnisaidie ni sababu gani nimtafutie kiasi cha kwamba hata nikiachana naye watu wangu wa karibu nikiwaelezea wanielewe, dah kweli yule mwanamke alikuwa hakufai.
Nafanya hivyo baada ya kugundua watu wa karibu nami wanamkubali sana huyu mwanamke.
Nataka nifanye maamuzi hayo leo, tafadhali naombeni msaada.
Maana visa na vituko anavyonifanyia maji yamefikia shingoni naona nikiendelea naye huko mbeleni nitakuja kuumia sana hivyo naombeni mnisaidie ni sababu gani nimtafutie kiasi cha kwamba hata nikiachana naye watu wangu wa karibu nikiwaelezea wanielewe, dah kweli yule mwanamke alikuwa hakufai.
Nafanya hivyo baada ya kugundua watu wa karibu nami wanamkubali sana huyu mwanamke.
Nataka nifanye maamuzi hayo leo, tafadhali naombeni msaada.