Kitu SAMSUNG bwana...
Mkuu hizo ni size za monitor za computer, jaribu angalau 42". Na tofauti kubwa kati ya hizo TV ni kwamba hiyo namba moja inauwezo wa kuonyesha picha katika 3D mode inakuja pamoja na 3D glasses. 3D smart led tv na smart led tv zina uwezo wa ku-connect online bila msaada wa online streaming devices, wakati hiyo namba mbili full hd led tv lazima utumie streaming device kucheza youtube au service zingine zinazopatikana online. Kwa ujumla Tv zote hizo ni FullHD!Hebu nidokeze kidogo kuhusu hii brand kuna baadhi ya vitu vinanichanganya:-
Nini tofauti ya hizi;-
(1) 3d smart led tv
(2) full hd led tv
(3) smart led tv
Nitashukuru sana kama utanipa mchanganuo pamoja na bei kwa kila aina yenye size ya 21"-32"
Mkuu hizo ni size za monitor za computer, jaribu angalau 42". Na tofauti kubwa kati ya hizo TV ni kwamba hiyo namba moja inauwezo wa kuonyesha picha katika 3D mode inakuja pamoja na 3D glasses. 3D smart led tv na smart led tv zina uwezo wa ku-connect online bila msaada wa online streaming devices, wakati hiyo namba mbili full hd led tv lazima utumie streaming device kucheza youtube au service zingine zinazopatikana online. Kwa ujumla Tv zote hizo ni FullHD!
kila siku tunalalamika na wachina lakini hamkomi. Unaponunua angalia brand km samsung,sony,lg,hitach
Je? Wafahamu kama tv aina ya singsung flati mbele mara nyingi zinasumbua sana upande wa power na vertical