BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Imeeleza kuwa matatizo ya magonjwa ya figo ni tatizo la Kidunia kwa kuwa takwimu za magonjw aya figo ni 10% wakati ndani ya Tanzania takwimu za nchi ni 6%
Serikali inajipanga katika mambo mengi, kwanza ni kutoa elimu ya afya mfano kula na mazoezi, pili kuna usalama wa chakula na usalama wa dawa.
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema hayo Bungeni leo Juni 21, 2022 ambapo ameshauri watu wote wanatakiwa kuwa wadau hasa katika suala la chakula.
Kuhusu elimu shuleni amesema wanashirina ana Wizara ya Kilimo na Elimu katika kutoa elimu kwa umma.
Serikali inajipanga katika mambo mengi, kwanza ni kutoa elimu ya afya mfano kula na mazoezi, pili kuna usalama wa chakula na usalama wa dawa.
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema hayo Bungeni leo Juni 21, 2022 ambapo ameshauri watu wote wanatakiwa kuwa wadau hasa katika suala la chakula.
Kuhusu elimu shuleni amesema wanashirina ana Wizara ya Kilimo na Elimu katika kutoa elimu kwa umma.