Matatizo ya CHADEMA haya hapa

Matatizo ya CHADEMA haya hapa

Umekuwa msemaji wa CCM kwamba walikwambia walitaka kutumia mfumo wa CDM. Lakini hebu nisaidie mimi mbumbumbu, ilikuwaje habari hii ya CCM kutamani mfumo wa CDM hukuiweka hadharani ahdi leo unapigwa dongo ndio unaitoa? au ndio huku kumwaga mchuzi na ugali?
Uteuzi wa wabunge wa viti maalumu ulifanywa na CHADEMA? Acha porojo zako wewe kama hufahamu uliza ujibiwe. Kwa taarifa yako mfumo uliotumiwa na CHADEMA kupata wabunge wa viti maalumu hata ccm wanatamani kuutumia ila tatizo ni chama chao kumilikiwa na fikra za mwenyekiti wao "zidumu fikra za mwenyekiti".

CHADEMA walikabidhi kazi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum kwa jopo la maprofesa wa chuo kikuu. Wao walichofanya ni kuainisha sifa za wabunge wanaowahitaji tu.

Kama CHADEMA wangefanya uteuzi kwa upendeleo kama unavyotaka kutuaminisha, hata wengine waliotaka kupata nafasi hizo wangelalamika sana. Mfano mzuri ni pale alipofarike Regia Mtema nafasi yake ilizibwaje? Uliza ujibiwe acha kubwabwaja tu ili mradi uiingize buku saba. Tumbo litakuponza.

CCM wenyewe wanatambua utaratibu uliotumika kuwapata wabunge wa CHADEMA ndio maana wanakaa kimya na walishawahi kushauriana kutumia mfumo kama huo tatizo ni kwamba viongozi wanatumia nafasi ya viti maalum kuwapatia wapenzi wao ulaji.
 
kwa nini unapenda picha dogo? kwa nini huwa unaogopa kujibu hoja? tumia ubongo dogo. acha blabla. jenga hoja

images
 
Huu uzi hautabadilisha blue kuwa red...chadema iko mioyoni mwa wa Tanzania. ..hata mkiwachafua majina viongozi wa chadema haitasaidia kitu.si umeona mwigulu kahangaika na kikatuni chake walicho kimwagia tindikali still bado haikusaidia kitu..so buku 7 project endeleeni kupigia mbuzi gitaa
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.

Kazi ya kukijega chama cha siasa siya mchezo hasa katika jamii mmoja ya watanzania,mapambano yaliyopo ya adui wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe,kumuondowa huyu miongono mwetu na kumuwekwa huyu naye ni miongoni mwetu katika mtizamu huu waujengaji wa chama cha siasa,watu wa kwanza watakao kuungamkono kwa hali,mali,mauwaji,uhai na machungu ya dhati ni watu wa karibu nawe,tofauti na wakati wamapambano ya kukijenga chama kumuondowa mkoloni(mzungu) watanganyika wote tulikuwa kitu kimoja kumuondowa mkoloni kwenda kwao tafauti na sasa, nailikuawa nijambo la fahari kuteuliwa ubalozi,si udini,ukabila au ukanda ni harakati za kukijenga chama kuelekea kwenye utaifa.
 
Ungetoa ufafanuzi ili tukuelewe ndugu (Hili ni Jukwaa la 'Greater Thinkers') jinsi hao wanavyopeana hayo madaraka si kufanya ulinganisho tu, mfano Lissu VS dada yake. Mbona vyama vingi hizo 'VS' zipo? Mfano Makamba Sr VS Makamba Jr. Onyesha nawe ni miongoni mwa 'GT'
 
Heri nusu shari kuliko shari kamili.Magamba bana wamejitwalia kila kitu.Orodha yao ni ndefu sana,hata JF haitatosha
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.

Hapo ktk red, Kwa mtazamo wako, Chama Kikuu Cha Upinzani ni Chama gani? CHADEMA au NCCR?
 
habari wa jf.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako chadema.

1. Kupeana ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
ndesamburo vs lucy owenya
mbowe vs grace kihwelu
lissu vs j.lissu(dada yake tumbo moja)
zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa cheo au jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

Naomba mbadilike.


nb: Siasa ci suluhisho sahihi la matatizo yetu.

umemaliza na kwa muda huu najua umesha beba posho kibindoni asante kwa taarifa ukajinyonge sasa.
 
Hahaha hahaha😛eace: hahaha hahaha

LUPE.watajinynga hawa jamaa yani kila siku ni cdm cdm cdm cdm hawajui kuwa ukimwimba sana adui yako inafika wakati unamsifia adiu bila kujua.....nakwambia wangoje 2015 wapigwe si kipigo cha pinda bali nguvu ya umma.
 
Huu uzi hautabadilisha blue kuwa red...chadema iko mioyoni mwa wa Tanzania. ..hata mkiwachafua majina viongozi wa chadema haitasaidia kitu.si umeona mwigulu kahangaika na kikatuni chake walicho kimwagia tindikali

Word!!!!
 
mkuu umejitahidi sana leo, yaani kwenye tuhuma hizi DR. hayumo? hapana bwana review njoo na zile tuhuma zenu za ruzuku!!!

slaa amempa mkewe kitengo cha i.t. iliaweze kudaka data zote ndan ya cdm
 
inavyo elekea wewe ni bubu. sijawahi ona hata siku moja ukiandika maneno. nimeamini duniani kuna mambo
 
Back
Top Bottom