Matatizo ya CHADEMA haya hapa

Matatizo ya CHADEMA haya hapa

Na ccm hawajuani? Mwenyekiti, Salma, mfanya biashara ya mafuta wamekaaje? Acha unoko wewe.
 
Na bomu la bahati mbaya je? Huyo polisi kachukuliwa hatua gani? Au napo chadema wamefanya fujo?
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
Orodhesha na matatizo ya CCM halafu uchanganue huone yepi kati ya matatizo ya CDM na CCM yanamuathiri Mtanzania kwa sasa wakiwemo watoto wako,wazazi na ndugu zako.
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
Nimeipenda hiyo note yako, hata mimi nakuunga mkono kwani katika tafasiri ya maendeleo hasa ya kiuchumi hakuna mahala inapoonesha kuwa siasa yaweza kuleta hali ya mabadiliko ya kiuchumi miongoni mwa watu coz the aim of ANY politician is to get in power and take control of the state/country , kwa hiyo bandungu tuwe makini xana.
 
Kama wewe ni mtafiti utagundua ccm kwa sasa inajaribu kujieka karibu sana na vya upinzani ukiacha cdm kutokana na nguvu ya cdm ambyo hawakuitegemea . .msishtuke mkisikia ccm wameungana na cuf, nccr ,tlp na udp.
 
Uteuzi wa wabunge wa viti maalumu ulifanywa na CHADEMA? Acha porojo zako wewe kama hufahamu uliza ujibiwe. Kwa taarifa yako mfumo uliotumiwa na CHADEMA kupata wabunge wa viti maalumu hata ccm wanatamani kuutumia ila tatizo ni chama chao kumilikiwa na fikra za mwenyekiti wao "zidumu fikra za mwenyekiti".

CHADEMA walikabidhi kazi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum kwa jopo la maprofesa wa chuo kikuu. Wao walichofanya ni kuainisha sifa za wabunge wanaowahitaji tu.

Kama CHADEMA wangefanya uteuzi kwa upendeleo kama unavyotaka kutuaminisha, hata wengine waliotaka kupata nafasi hizo wangelalamika sana. Mfano mzuri ni pale alipofarike Regia Mtema nafasi yake ilizibwaje? Uliza ujibiwe acha kubwabwaja tu ili mradi uiingize buku saba. Tumbo litakuponza.

CCM wenyewe wanatambua utaratibu uliotumika kuwapata wabunge wa CHADEMA ndio maana wanakaa kimya na walishawahi kushauriana kutumia mfumo kama huo tatizo ni kwamba viongozi wanatumia nafasi ya viti maalum kuwapatia wapenzi wao ulaji.
 
Mkuu sinde Kwetu umechemka kinoma. Huna chochote unachochangia hapa ujiondokee zako chapa lapa nenda home. kwa upeo wa kufikiri kwako nadhani wewe ni zao la shule za kata. Pisha watu wenye weledi watoe na kuchangia mada. Wahi pale Lumumba ukachukue buku mbili uwahi. Waeleze kuwa muziki wa CDM mkubwa utawapasua masikio.
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.

Hivi unadhani kwa kupost utumbo wako hapa unaweza ukaivuruga CDM. Shit..
 
Tafadhali mods tendeni haki, nimeanzisha uzi unao onyesha matatizo ya ccm mmeutoa basi na huu toeni. Kazi njema
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.

4467301_orig.png
 
Yaani ni kweli kabisa mkuu maana hawa wenzetu siku hizi wamebobea sana kwenye video designing chini ya jenerali wa green guard mwigulu a.k.a savimbi.. Na location wanazo si mchezo
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.

fanatic.gif
 

kwa nini unapenda picha dogo? kwa nini huwa unaogopa kujibu hoja? tumia ubongo dogo. acha blabla. jenga hoja
 
UKO sahihi kabisa swahiba wangu. CDM matatizo yao si hayo tu, bali jingine la hatari zaidi ni hili la wao kujiaminisha kabisa bila shaka yoyote kuwa 2015 watashika dola. Lakini kichekesho ni hiki hapa, jana huko MZA bwana Wenje katangaza nia, na kama utakumbuka vizuri bwana Zitto alishatangaza nia wakati wa kampeni 2010 kuwa ifikapo 2015 atagombea urais. Kandoni mwa hayo yupo Slaa, na bado Mbowe hajazungumza. Mimi nafikiri watanzania tunatakiwa tuwatambue CDM na tuwa mbedye.....
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
 
safari_ni_safari
kwa nini unapenda picha dogo? kwa nini huwa unaogopa kujibu hoja? tumia ubongo dogo. acha blabla. jenga hoja
 
Back
Top Bottom