Matatizo ya CHADEMA haya hapa

Matatizo ya CHADEMA haya hapa

NKUU SINDE KWETU

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
830
Reaction score
91
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
hapo kwenye red ushaonyesha where you belong....facebook kwa watoto wenzako
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
Tumekuelewa.Na kama hao ndio waliokuwa wanachama wangepata wapi wengine?
 
Kweli nimeamini cdm ni moto wa kuotea mbali.maana walifikiri baada ya kumteka mrema na nccr yake basi hakuna wa kuwaumiza tena vichwa,sasa ngoma imepata mpigaji.mziki wa cdm bado ni mzito mbona hii ni treila,mnahaha hivyo?je onesho lenyewe bado halijaanza.huu ni upepo wa kimbunga unaogawa merikebu vipande vipande,tunakuja mpaka mmerudisha mpaka senti ya mwisho ya mlivyochukua.
 
nyabhingi;Vijana wa CCM wamepoteza matumaini hivyo usisumbuke nao, awali Mwigulu aliwadanganya kwamba wajiunge Green Guards kwani ni kikundi cha ujasiriamali. Walipofika kambini wakajikuta wanafundishwa kutumia silaha,kurusha mateke na utekaji.Walipohoji walijibiwa kwamba wanapewa mafunzo ya ukakamavu na kujilinda. Wahenga walisema siku hazigandi, wakajikuta wanapewa majukumu ya kuiba kura, kuwajeruhi wabunge wa upinzani kama walivyomfanyia Mhe.Nassari na wengine walipewa jukumu la kuwachafua wapinzani mitandaoni kwa makubaliano ya kulipwa 7,000tsh kwa siku.Hawa ndiyo wajasiriamali wa CCM wala wasikupe tabu!
 
Last edited by a moderator:
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
mkuu umejitahidi sana leo, yaani kwenye tuhuma hizi DR. hayumo? hapana bwana review njoo na zile tuhuma zenu za ruzuku!!!
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.

3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
Ndo matatizo ya kujiunga juzi jukwaani unaacha kujadili issues unaleta longolongo
Join Date : 26th June 2013
Posts : 24
Rep Power : 308
Likes Received1
Likes Given0
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.

Matatizo uliyonayo makubwa
 
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.

1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake

2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.


3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.

4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.

NAOMBA MBADILIKE.


NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.

Katika tofauti za kisiaza, kila mtu anaona mwenzie ndo mwenye matatizo, bila kujali kweli anayo au la... Ni bora ungeanza kukiangalia chama chako kina matatizo gani kuliko kuanza kuwatolea macho wengine, na yako kuyakumbatia....
Uliyoyaainisha kuwa ni matatizo ya CDM, kimsingi ndo matatizo ya CCM...

1. Madaraka kiukoo.... Kuanzia Baba, mtoto, mke, shemeji, nyumba ndogo etc etc

2. Ni ukweli usiopingika kwamba CDM ndo kambi rasmi ya upinzani, hakuna chama kikingine, enzi za hao wengine akina NCCR, CUF nao ilikuwa hivyo hivyo lakini hakuna aliyewahi kufikisha idadi ya wabunge ilionao CDM. Hili linawasumbua sana CCM. Na hasa inatokana ma madudu ya CCM... Ukishajiona mpo wengi halafu wachache ndo wanawahangaisha, juwa kuwa hoja ndo inakuwa kigezo.... Mfano, suala la tozo za line za simu... Ona mnavyohangaika na matamko... Nape kivyake, Makamba Kivyake na Pinda kivyake.

3. Makundi ndo yanawaumiza sana CCM. kila mtu anataka atoke kivyake. Hili litawagawa kikanda, kidini, kimkoa etc etc.. Na mjuwe, kila kundi linatoa siri za kundi lingine kwa upinzani.

4. Kudhani kuwa kila anachoongea mwana-CDM ni kulalamika, badala ya kufanyia kazi ili mjirekebishe.... Na ndiyo maana mnasema NDIYOOO bungeni na baadaye mnaanza kutafutanamna ya kusema SIYOOOO nje ya bunge

5. Tatizo lenu la kumchomekea raisi mambo ya kitaifa ambayo hakuyajuwa kabla inawashushia sana imani kwa wananchi e.g Mlimchomekea sheria na akaweka sahihi, mkamleta mtu tofauti kupokea ambulence pale ikulu akashitukia... Hii ni kuvunja uaminifu.

6. Sehemu kubwa sana ya ahadi zenu hamzitekelezi na ndiyo maana kila muda wa uchaguzi ukifika, mnazirudia zile zile, na kubadili maneno tu....

7. Tatizo jingine ni kudghani kuwa kutekeleza waji bu wenu, ni kuwapa feva wananchi...

 
Dogo kama na wewe unalipwa kwa ajili hii , basi Utakuwa unaliibia shirika letu SUKITA , siasa ni maisha , naishia hapa tu , kule mwanzo ni upuuzi tu .
 
Hizi buku 7 zitaendelea kuwadhalilisha sana...
 
hakuna nyota mtashindwa kuona mwaka ,m4c.hata wangekuwa mia tunaangalia uwezo wa mtu na cv tu..hatutaki vilaza km nyie..nadhani hii ni ile pressure ya udiwani arusha .boc wako alipigwa sindano za chademaqiune nne hakumaliza dose hadi leo kimia naona anawatuma mbp mtapotea..tafuteni movie nyingine hii watanzania walishawaijua, wanafiki wakubwa..
mungu akiwa upande wako no one can touch you..
"A human being is a part of a whole, called by us _universe_, a part limited in time and space. He experiences himself, his thoughts and feelings as something separated from the rest... a kind of optical delusion of his consciousness. This delusion is a kind of prison for us, restricting us to our personal desires and to affection for a few persons nearest to us. Our task must be to free ourselves from this prison by widening our circle of compassion to embrace all living creatures and the whole of nature in its beauty."
 
LWENYI; Itakaa vizuri kama ataenda kumkabidhi Mhe.Madelu Mkumbo Mwigulu Nchemba kusudi hii story aitengenezee video!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom