Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yao hawa nimaandamano tu
mbona magamba wanamshadadia sana aendelee kuwa meya? kunanini nyuma ya pazia
siunajua wote wanaakili za baba colin babu s ndiomaana wanakurupuka kipofi haoni kibao kilichoandikwa hatari mpaka umshike mkono dawayao kuwashika mikona na kuwapa kadi kama babu padiri hiyo kadi alikabiziwa na jk nyerere aicc simba grl yeye na kikwete sindo maana anaiifadhi
Duh moyo wangu umevunjika mimi nilikuwa mmoja wa wale waliofurahi sina la kusema naomba basi mungu amtende kitu kama kupofuka macho,kupata kiarusi,kansa ya ubongo nakadharika manake kidunia amewekwa na wajanja
Hivi anajisikiaje mpaka wananchi wanafurahia anguko lake inaelekea roho yake yakijambazi haijali
CCM na wote wanaoshadadia upuuzi huu wanaitakia nini nchi hii! Watoto wetu wanajifunza nini kupitia upuuzi huu!? Chama tawala kinatuonyesha picha gani wananchi wa Mwanza? Upuuzi huu ni kwa manufaa gani na kwa nani? Matata kwa upuuzi huu tumweke kwenye kundi gani huyu? Wanaosimama na kushangilia uhuni huu wanapewa nini hawa? Ni njaa na umasikini wetu umetufikisha hapa? Tuacheni ushabiki wa kipuuzi tuweke utaifa mbele.