kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,310
- 12,606
Sio kwamba Samatta hatoi mchango kwa taifa lakini mchango wake hautoshi kabisa. Kule Ulaya anaitwa Samagoal lakini Taifa stars anaitwa Samaassist. Hiki ndicho watu wasichokitaka. Mafanikio ya Ronaldo na Messi ni pamoja na kupachika magoli kwenye mataifa Yao na kuamua matokeo.
Tumuombee Samatta afanye zaidi kuliko anavyofabya Sasa. Maana yeye ndio kaka yetu mkuu uwanjani kutokana na mafanikio aliyoyapata. Anatakiwa aweke rekodi yake kwenye timu ya Taifa ambayo itadumu kwa muda mrefu bila kivunjwaa.
Tumuombee Samatta afanye zaidi kuliko anavyofabya Sasa. Maana yeye ndio kaka yetu mkuu uwanjani kutokana na mafanikio aliyoyapata. Anatakiwa aweke rekodi yake kwenye timu ya Taifa ambayo itadumu kwa muda mrefu bila kivunjwaa.