Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:Nitaufuata ushauri wako.Nitasali mpka Roho mtakatifu ANIFUNULIE maono.
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:Nitaufuata ushauri wako.Nitasali mpka Roho mtakatifu ANIFUNULIE maono.
aisee wachaga wote naomba mnisamehe msije mkanisababishia kifungo kama kila kilichonitkea last month
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
ha ha ha ha nafikiri huwajui vizuri watajwa hapo juu infact hao si ajabu wanabanjuana kuliko hata wana ndoa
shkamoo!...Mzee wa Emoticons!Niambie
Kuna wanaJF ni wahujumu uchumi. All the time wanachat humu... Hamna kaz huko maofisini? Au ndo unakuta wengine wameacha foleni nje inasubiri huduma wao wanachat:A S angry:. Ombeni Slaa asiwe raisi...
kwani we upo ofisini?Kuna wanaJF ni wahujumu uchumi. All the time wanachat humu... Hamna kaz huko maofisini? Au ndo unakuta wengine wameacha foleni nje inasubiri huduma wao wanachat:A S angry:. Ombeni Slaa asiwe raisi...
hii ni karne ya ishirini na moja kwani vipi??? njia za maambukizi ya VVUKwani UKIMWI unaambikizwa kwa ngono peke yake? Hivi hii karne ya ngapi wajameni?
Kuna wanaJF ni wahujumu uchumi. All the time wanachat humu... Hamna kaz huko maofisini? Au ndo unakuta wengine wameacha foleni nje inasubiri huduma wao wanachat:A S angry:. Ombeni Slaa asiwe raisi...
sasa Ramos, hapa unafanyaje precisely?:confused2:
Na wewe unafanya nini humu? all the time unasoma post na chat zetu tu? na wewe ni fisadi vilevile.
Na wewe unafanya nini humu? all the time unasoma post na chat zetu tu? na wewe ni fisadi vilevile.
sasa Ramos, hapa unafanyaje precisely?:confused2:
hahahaha tatizo unafikiri wote tumeajiriwa kama wewe......we endelea kukodolea:glasses-nerdy: macho post zetu uone mwajiri wako atakacho kufanya!! muda si muda utakuja kuomba ushauri hukuhuku!!:becky:Kuna wanaJF ni wahujumu uchumi. All the time wanachat humu... Hamna kaz huko maofisini? Au ndo unakuta wengine wameacha foleni nje inasubiri huduma wao wanachat:A S angry:. Ombeni Slaa asiwe raisi...
hivi hii series ya 24 ilisha kwisha?ha ha ha ha ha ha ha!!!!:smile-big::smile-big:
mie hata kazi sifanyi nimerithishwa nyumba 4 na wazazi wangu moja iko Upanga nimepangisha wadhungu kazi yangu nikuingia net, kucheza pool na jioni ulabu pesa inaingia kila mwezi kama sina akili nzuri iga ufeNashangaa jinsi mnavyopoteza mda...
Tatizo sio kuajiriwa, ni kufanya kaz. Uwe umeajiriwa au hujaajiriwa. Fanya kaz...hahahaha tatizo unafikiri wote tumeajiriwa kama wewe......we endelea kukodolea:glasses-nerdy: macho post zetu uone mwajiri wako atakacho kufanya!! muda si muda utakuja kuomba ushauri hukuhuku!!:becky: