darasa7
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 395
- 61
Mzee mandondo miaka ya 1980.aliwavesha wananchi na viongozi ilizi wajikinge na wachawi akupiga hela ya ukweli akapotea
Babu wa loliondo 2012,kawanyesha viongozi wa chama ,serikali na wananchi maji ya kuchemsha wakizani ni dawa ya ukwimwi,akabiga hela ya maana kajenga mjengo wa maana na VX anayo
NITAJIE WENGINE UNAOWAFAHAMU?
Babu wa loliondo 2012,kawanyesha viongozi wa chama ,serikali na wananchi maji ya kuchemsha wakizani ni dawa ya ukwimwi,akabiga hela ya maana kajenga mjengo wa maana na VX anayo
NITAJIE WENGINE UNAOWAFAHAMU?