Matapeli wa mtandaoni wamekuja na mbinu mpya

Matapeli wa mtandaoni wamekuja na mbinu mpya

...Amepigwaje ? Tushitue...
Jamaa kapiga simu anataka bidhaa afanyiwe delivery
katoa location kijana kapeleka njiani anamwambia dogo niwekee elfu sita kwenye namba yangu ukija nakupa pamoja nataka kununua umeme, dogo akamtumia from wakala 10k, anafika sehemu aliyomuelekeza jamaa hapokei simu nusu saa nzima kunipigia kunipa mazingira ndo nkajua tushapigwa
 
Ilikuwaje?
Jamaa kapiga simu anataka bidhaa afanyiwe delivery
katoa location kijana kapeleka njiani anamwambia dogo niwekee elfu sita kwenye namba yangu ukija nakupa pamoja nataka kununua umeme, dogo akamtumia from wakala 10k, anafika sehemu aliyomuelekeza jamaa hapokei simu nusu saa nzima kunipigia kunipa mazingira ndo nkajua tushapigwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]nimecheka shida nini alitumiwa message kama hiyo au ??
Jamaa kapiga simu anataka bidhaa afanyiwe delivery
katoa location kijana kapeleka njiani anamwambia dogo niwekee elfu sita kwenye namba yangu ukija nakupa pamoja nataka kununua umeme, dogo akamtumia from wakala 10k, anafika sehemu aliyomuelekeza jamaa hapokei simu nusu saa nzima kunipigia kunipa mazingira ndo nkajua tushapigwa
 
Jamaa kapiga simu anataka bidhaa afanyiwe delivery
katoa location kijana kapeleka njiani anamwambia dogo niwekee elfu sita kwenye namba yangu ukija nakupa pamoja nataka kununua umeme, dogo akamtumia from wakala 10k, anafika sehemu aliyomuelekeza jamaa hapokei simu nusu saa nzima kunipigia kunipa mazingira ndo nkajua tushapigwa
Yes huu ni wizi mpya kuna jamaa aliufungulia uzi wake jinsi na yeye alivyopigwa alisema kwamba hao matapeli wanampigia mtu alafu wanaomba namba ya bodaboda wake anaemuamini kwa kigezo hichohicho cha kumtuma mzigo
 
Jamaa kapiga simu anataka bidhaa afanyiwe delivery
katoa location kijana kapeleka njiani anamwambia dogo niwekee elfu sita kwenye namba yangu ukija nakupa pamoja nataka kununua umeme, dogo akamtumia from wakala 10k, anafika sehemu aliyomuelekeza jamaa hapokei simu nusu saa nzima kunipigia kunipa mazingira ndo nkajua tushapigwa
Dah, poleni saana.
 
Yes huu ni wizi mpya kuna jamaa aliufungulia uzi wake jinsi na yeye alivyopigwa alisema kwamba hao matapeli wanampigia mtu alafu wanaomba namba ya bodaboda wake anaemuamini kwa kigezo hichohicho cha kumtuma mzigo
Dah namuuliza kijana kwanini hujanishirikisha anasema niliona ni mwanaume mwenzangu dah
 
Kama huyl ni tapeli na ww ukatapeliwa wote mna akili ndogo sana
 
Hivi kwa Nini matapeli wa mitandaoni wanajifanyaga hawajui kuandika? Wengi hawajuagi kutofautisha R na L, na H na A.
Ndicho kinachotusaidia wenye akili kubwa kuwabaini kiurahisi sana bila hata ku evaluate!
 
Back
Top Bottom