Matapeli wa mtandaoni wamekuja na mbinu mpya

Matapeli wa mtandaoni wamekuja na mbinu mpya

Me kuna mmoj kanipigia simu na kujifanya kunichangamkia kana kwamba ananijua, eti unajua pande zakwenu huko kuna demu wangu anaitwa Mariam vp unamjua nikamwambia simjui mara ooh siku hizi unafanya mishe gani? Nikamwambia sina mishe, akaniambia kwanini Husemi ndg kuwa Huna mishe si uwe tingo kwenye Gari ninaloendesha tuwe tunasafiri wote kwenda Tunduma. Yaani jamaa unaezasema linanijua jinsi lilivyonichangamkia.....
 
Me kuna mmoj mmoja kanipigia simu na kujifanya kunichangamkia kana kwamba ananijua, eti unajua pande zakwenu huko kuna demu wangu anaitwa Mariam vp unamjua nikamwambia simjui mara ooh siku hizi unafanya mishe gani? Nikamwambia sina mishe, akaniambia kwanini Husemi ndg kuwa Huna mishe si uwe tingo kwenye Gari ninaloendesha tuwe tunasafiri wote kwenda Tunduma. Yaani jamaa unaezasema linajua jinsi lilivyonichangamkia.....
Unaona hapo sasa mtu mwenye shida ya kazi anapigwa hela hapo
 
Hivi kwa Nini matapeli wa mitandaoni wanajifanyaga hawajui kuandika? Wengi hawajuagi kutofautisha R na L, na H na A.
ili wachuje wale watu wajanja, mtu ambae ataona huo muandiko na bado atafuata maelekezo, ndo target yao.... wanataka wale madunya kabisa
 
hawa jamaa ndo wale jamaa walikuwa na akilisana shule za sekondari na primay,lakini walikuwa wahuni sana,,,,madaftari yao walikuwa wanazungusha kama bomba alaf waningiza mfuko wanyuma wa kaptula,,,,then,ndo walkuwa wanakaa back bench,,,,,walikuwa wanafanya mazoezi ya kareti mabondeni na kunyayua vitu vizito...laiti wangezingatia masomo tasnia ya IT hapa tz ingekuwa juu sana aisee,,,,,nasema ivi kwa sababu na mimi niliingia kwenye huo mkumbo lakini nikajichomoa mapema,,,nakumbuka tulikuwa hatusomi,lakini mwalimu akimaliza sisi kila ki2 kimenasa,,,walioishia msingi walifaulu lakini hawakuendelea na masomo,na waliofaulu sekondari pia hawakwenda vyuoni,,,,group langu mimi wote tulipiga one kasoro mmoja tu alichomoka na 3,,,,kimsingi ukiwa kilaza ulikuwa unatengwa,,,sasa hawa ndo wanasumbua
 
Wakuu,, maisha halisi ya mtaan ni kwamba hamyajui? Naona wengi mnasema hamuwezi kamatwa kwa njia hiyo na mm nasema ni kweli kabisa.
Tatizo linakuja kwa wananchi wa kawaida wa uswazi ambao level ya elimu ni ndogo sana na majobless ambao hawana elimu huwa wanapigwa sana na mbinu hizo za kutumiwa sms tu,,

Kitu kingine ni ujanja wa mtu, unaweza kuta jamaa kasoma vizuri tu lakini ujinga haujatoka kichwani na ana tamaa ya hela ya chap hapo lazima upigwe tu,,

mf, juzi kuna sehemu nilikua nafanya miamala ya kifedha kaja jamaa yupo smart sana kwa muonekano ni mjanja ila jamaa katumiwa sms kuwa "mwanao anaumwa sana yupo hospitali amepata ajali wakati anatoka hostel" kaja kutuma laki2 baada ya kutuma tu jamaa hawapatikani.
 
Wakuu,, maisha halisi ya mtaanj ni kwamba hamyajui? Naona wengi mnasema hamuwezi kamatwa kwa njia hiyo na mm nasema ni kweli kabisa.
Tatizozo linakuja kwa wananchi wa kawaida wa uswazi ambao level ya elimu ni ndogo sana na majobless ambao hawana elimu huwa wanapigwa sana na mbinu hizo za kutumiwa sms tu,,

Kitu kingine ni ujanja wa mtu, unaweza kuta jamaa kasoma vizuri tu lakini ujinga haujatoka kichwani na ana tamaa ya hela ya chap hapo lazima upigwe tu,,

mf, juzi kuna sehemu nilikua nafanya miamala ya kifedha kaja jamaa yupo smart sana kwa muonekano ni mjanja ila jamaa katumiwa sms kuwa "mwanao anaumwa sana yupo hospitali amepata ajali wakati anatoka hostel" kaja kutuma laki2 baada ya kutuma tu jamaa hawapatikani.
Hizo message wanatuma kwa watu 200 naamini kwenye hao 200 basi kuna watano watanasa mfano huyo jamaa aliyetuma hela , katika 200 amenasa yeye alafu bila kuuliza wala kuongea na administration ya shule tayari ameshakimbia kutuma hela
 
hiyo sms unatapeliwa kivipi?? au uwe na ubongo wa kuku
Mkuu hii message ni kama kianzio au tunaita mtego , fikilia hiyo message ametumiwa tuu mama wa mtaani ambae anakijana wake ni jobless ataiona hiyo kama fursa akianza tu kumtafuta huyo tapeli atapangwa vizuri mpaka anaenda mwenyew kwa wakala kutuma hela
 
Hizo message wanatuma kwa watu 200 naamini kwenye hao 200 basi kuna watano watanasa mfano huyo jamaa aliyetuma hela , katika 200 amenasa yeye alafu bila kuuliza wala kuongea na administration ya shule tayari ameshakimbia kutuma hela
Ndio hivyo mkuu watu wakupigwa hawakosekani katika watu 200 wakinasa wawili tu jamaa tayari washakula hela nyingi tu,, mf zile sms za nafasi ya jeshi au usalama wa taifa kuna watu huwa wanalia sana wanapigwa hadi milioni 2.
 
Hivi kwa Nini matapeli wa mitandaoni wanajifanyaga hawajui kuandika? Wengi hawajuagi kutofautisha R na L, na H na A.
Wanatumia akili sana sema hujafatilia.

Mfano, huyo hapo kajifanya ni dereva wa gari la mizigo. Na kwa mazingira ya tz, madreva mengi wa haya magari hawakusoma sana, wengi ni darasa la saba, akaenda garage kidogo, bdae kawa utingo, mara ajifunze kusogeza gari baadaye anakuwa dereva anatafuta qualifications anapata leseni.

So uandishi wao (walio wengi) ni wa kuunga unga. Hawana tofauti na wanajeshi.

Ndio maana hata hao matapeli wanaframe sms zao zionekane ni za madreva wetu hawa tulio nao.
 
Mimi mama yangu aliwai kutapeliwa laki 3 (300k) na wale jamaa wa Facebook wanaojifanya wanakopesha wafanyabiashara. Mother aliona tangazo Facebook kwamba kwa kianzia cha laki 3 basi anaweza kupewa mkopo million 3 [emoji23][emoji23][emoji23] akajichanganya akawatafuta, kabla ajawatafuta akaniuliza mimi hivi hawa watu ni kweli nikamwambia hao ni matapeli usijaribu kufanya kitu kama hicho sasa sijui yeye aliona mimi namnyima ridhiki akawatafuta jamaa kimyakimya bila kunishirisha akaambiwa atume laki 3 ili ikae kama akiba akawatumia hela jamaa wakapotea , baada ya kuwatafuta siku 3 bila majibu ndo anakuja ananiambia hile kampuni ya mikopo wamenitapeli naenda polisi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hii message ni kama kianzio au tunaita mtego , fikilia hiyo message ametumiwa tuu mama wa mtaani ambae anakijana wake ni jobless ataiona hiyo kama fursa akianza tu kumtafuta huyo tapeli atapangwa vizuri mpaka anaenda mwenyew kwa wakala kutuma hela
dah...kweli tumepishana akili ..pole zenu
 
Hivi kwa Nini matapeli wa mitandaoni wanajifanyaga hawajui kuandika? Wengi hawajuagi kutofautisha R na L, na H na A.

Kuandika kwa ufasaha ni kipaji wachache wamejaariwa
Lkn pia kuandika kwa ufasaha kwani anatafta kaz cha umuhimu ujumbe umefikia umeingia upepo umetuma pesa bas iyo ndo kaz yake
 
Matapeli vilaza. Matapeli wa bongoland bila ndumba hawatoboi kwa sababu ni vilaza pank
 
Kuandika kwa ufasaha ni kipaji wachache wamejaariwa
Lkn pia kuandika kwa ufasaha kwani anatafta kaz cha umuhimu ujumbe umefikia umeingia upepo umetuma pesa bas iyo ndo kaz yake
Soma comment ya Synod hapo juu amefafanua vizuri kwanini hao matapeli wanajifanya hawajui kuandika
 
Back
Top Bottom