lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Wandugu!
Tafadhali Chukueni tahadhari na watu (wanawake kwa Wanaume) wanaotangaza kuwa eti wanataka wake au waume huku jamiiforums kumbe wana agenda ya siri nasema haya kwa sababu yamenikuta jana nilimpata mdada humu humu Jamiiforums tukawa tunawasiliana na jana mwanzoni tulikubaliana tukutane MLIMANI CITY baadae akabadilisha akasema tukutane pale MWENGE (Maryland Bar) mi nikakubali akaja kweli muda tuliokubaliana saa 10:30 jioni (Maryland Bar Mwenge ghafla nikavamiwa na group la vijana wapatao wa 4 wanadai ati kwa nini namsumbua kwa kumtongoza kila siku mke wake duuh! kilichonisaidia ni mbio zangu maana jamaa walishuhudia vumbi tu! labda walichofaidi ni bia niliyokuwa nimebakisha hapo mezani lakini kama ndo mpango wao wanipore wamenoa!! KWA HIYO TAFADHALINI kuweni makini,vinginevyo MTALIA SIKU MOJA
Mkuuu funguka bwana, ulichat na ID gani humu JF, hio KUSEMA BILA KUMLIPUA MUHUSIKA SI DAWA! Ukute big name!!!! LOL! Sipati picha ukaona umejipatia BONG YA SHORIIIII!BURE BURE! USHAJIPANGA KUMUONJAAA!!!!LOL! Ndo dawa yenu waonjaji!!!!! Pale Maryland kuna guest kibao karibu ikiwamo Raibow Hotel Na Kebbys Hotel! Sijui ulilipia chumba ipi? LOL! Anyway siku zote BLIND DATES ni mbaya unaweza chat na mtu kumbe Mama/Dada yako, bora wewe mke wa mtu!! LOL!