MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 Nov 30, 2011 #1 Unakuta mtu anakutania: unakuwa mshamba kama wa URU(mchaga) acha kuwa kama mnama(mkibosho) wewe ndakoruuu nini(mmeru) mwana siku hizi unapiga suruali za kina mwaitege(mnyakyusa) ............ ...........nukta
Unakuta mtu anakutania: unakuwa mshamba kama wa URU(mchaga) acha kuwa kama mnama(mkibosho) wewe ndakoruuu nini(mmeru) mwana siku hizi unapiga suruali za kina mwaitege(mnyakyusa) ............ ...........nukta
Inside10 JF-Expert Member May 20, 2011 25,792 23,269 Dec 1, 2011 #2 mwana ckuhz unavaa masendoz makubwa kama msukuma au muha.
MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 Dec 1, 2011 Thread starter #3 Unamaneno mengi kama mzaramo wa msanga.nukta
pansophy JF-Expert Member Nov 13, 2011 502 320 Dec 1, 2011 #5 brightrich said: Bahili kama washindiathe!(mpare) Click to expand... Mjalibishe Mkinga upasuke kichwa
brightrich said: Bahili kama washindiathe!(mpare) Click to expand... Mjalibishe Mkinga upasuke kichwa
MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 Dec 1, 2011 Thread starter #6 pansophy said: Mjalibishe Mkinga upasuke kichwa Click to expand... jamaa wewe unapenda kucheka kama mkwe.re.nukta
pansophy said: Mjalibishe Mkinga upasuke kichwa Click to expand... jamaa wewe unapenda kucheka kama mkwe.re.nukta
H Haika JF-Expert Member Mar 3, 2008 2,348 559 Dec 2, 2011 #11 Mkono mkubwa kama msukuma huwa pia kuna sifa zinazoendana na makabila kama unakula ugali mkubwa/ mgumu kama msukuma
Mkono mkubwa kama msukuma huwa pia kuna sifa zinazoendana na makabila kama unakula ugali mkubwa/ mgumu kama msukuma
Cha Moto JF-Expert Member Jul 2, 2011 945 153 Dec 5, 2011 #12 unatembea kama msafya unahuruma kama mbulu
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,167 175 Dec 5, 2011 #13 Malaya kama mnyakyusa, mchafu kama msafwa, unahasira kama mhehe...
snochet JF-Expert Member Mar 31, 2011 1,405 1,095 Dec 5, 2011 #15 kicheche kama mbulu,mweusi kama mjaluo,mkorofi kama mmeru