Matani yanayoendana na makabila.....

MR. DRY

JF-Expert Member
Oct 5, 2011
637
122
Unakuta mtu anakutania:

unakuwa mshamba kama wa URU(mchaga)

acha kuwa kama mnama(mkibosho)

wewe ndakoruuu nini(mmeru)

mwana siku hizi unapiga suruali za kina mwaitege(mnyakyusa)
............
...........nukta
 
Mkono mkubwa kama msukuma
huwa pia kuna sifa zinazoendana na makabila
kama unakula ugali mkubwa/ mgumu kama msukuma
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom