Matangazo ya vifo Radio One

Matangazo ya vifo Radio One

jibu rahisi sana,inapendwa na inawasikilizaji wengi kaskazini
 
simply wengi ni wasikilizaji wa hio redio na wana hela za kupeleka hayo matangazo huko
 
Kama unataka ugombane na wazee, jaribu kubadili radio wakati wa matangazo ya vifo. Watu wapo tayari kupitwa na taarifa ya habari lkn si MATANGAZO YA VIFO. Radio One inaheshimika Moshi kwa kuwa kuna watu wanataka kujua ndugu waliofariki.
 
Kama unataka ugombane na wazee, jaribu kubadili radio wakati wa matangazo ya vifo. Watu wapo tayari kupitwa na taarifa ya habari lkn si MATANGAZO YA VIFO. Radio One inaheshimika Moshi kwa kuwa kuna watu wanataka kujua ndugu waliofariki.
hahahaha mzazi hii kali sana
 
ROMBO HAKUNA RADIO YA TANZANIA HATA MOJA INAYOSIKIKA. TunasikiLIZA RADIO ZA KENYA ZOTEE.! Sijajua kama TUPO KENYA AU TANZANIA MAANA NI MSHANGAZO KWAKWELI...WAHUSIKA NAFIKIRI MMELIONA HILI
 
Mbona mi ni mchagga lakini sijawahi kutajwa kwenye hicho kipindi? (referring to your heading)
 
watu wanaotajwa wote wafiwa ,marehemu na misiba ni wachagga kwani hivi hiki kipindi jamaa wamenunua[/QUOTE]




Radio one ni FM Station ya kwanza kufika na kusikika vizuri KLM. So, matangazo mengi hayawezi kupelekwa radio nyingine. Ukipita KLM utasikia jingo za radio one mitaani
 
Sababu kuu inaweza kuwa wachaga wanaweka msiba zaidi kwa ajili ya maandalizi na kusafirisha mwili (siku 3 hadi 5). So kutangaza ni muhimu kwa ajili ya mobilization

Sababu ya pili inafanana kiasi na ya kwanza, no offence meant, ila wachaga wengi ni wakristo. Waislamu hawaweki msiba, mtu anafariki asubuhi jioni wameshamuotesha.

Sababu ya tatu, wachaga wana majina yanayojulikana kuwa ya kichaga. Ukiskia matangazo happyness laban anaweza kuwa masai na usi-take note.
 
Hiyo namba saba inahusika pia, kuna kaushamba flani napo, mweh!
Basi assumptions zitakuwa wachaga:
  1. wanakufa sana
  2. wanapendelea redio inayosikilizwa sana kwao
  3. wanautamaduni wa kutangaza vifo vya ndugu zao
  4. wana hela ya kufanya hivyo
  5. wanadhani redi ya mengi ni yao
  6. mengi anawatangazia bure
  7. wanaushamba kwahiyo wao kumtangaza mtu ni kama kafika mbinguni
  8. wanasikiliza redio hiyo tu popote walipo
 
Kwa sababu radio one ni ya Chadema ambao wanahusishwa na Uchaga.

Propaganda manake no kufikiri
 
Kila nikisikiliza matangazo ya vifo radio One, nasikia tu Wachaga ndo wanaongoza kwa kutangaza misiba yao (asilimia kama 90).
Swali langu; Je hawa jamaa ndo wanaongoza kwa kufa AU wanapenda umaarufu kupitia redion??
 
utasikia hivi; familia ya shirima inatangaza kifo cha mtoto wao meku kilichotokea jana, mipango ya mazishi inafanywa rombo bar, habari ziwafikie shayo akiwa kimara dsm, ukoo wote wa urasa popote walipo, mazishi yatafanyika Kibosho jumamosi ijayo.
 
Huwa wana ushirika ambao unatoa rambirambi kwa wafiwa wanachama na hata kusafirisha mwili wa marehemu. Sasa kama umefiwa njia ya kukonfirm kama kweli umefiwa unatoa tangazo la kifo kwenye vyombo vya habari. Halafu unapewa rambirambi. Vinginevyo ungekuta mtu anafiwa kila siku na anakula mshiko kiaina.
 
umoja na mshkamano na utaftj we2 wa mali ndy uliotuwezesha wachaga kuwa maaruf had we ku2faham xo kwa habr ya mtangazo ya vfo 2natangaza il kudumsha umoja weä katka kvsaidiana na kwenx rida na raha
 
Kila nikisikiliza matangazo ya vifo radio One, nasikia tu Wachaga ndo wanaongoza kwa kutangaza misiba yao (asilimia kama 90).
Swali langu; Je hawa jamaa ndo wanaongoza kwa kufa AU wanapenda umaarufu kupitia redion??

Ndio wenye pesa za kutangaza redioni. . .
 
Back
Top Bottom