Matangazo ya vifo Radio One

Matangazo ya vifo Radio One

Wakuu leo nimeleta huu uzi tujadili kidogo hiki kipindi cha matangazo ya vifo kinachorushwa na redio one sterio nimeanza kukisikia muda mrefu sana,lakini niligundua ni kwanza asilimia 95 ya watu ambao wanatangazwa au kutangaziwa vifo ni wachaga,ina maana wao ndio wanapenda sana kujua taarifa zao wengine hapana au inakuaje? wachaga njoeni hapa na ninyi mtueleze.
kwasababu wana hela za kurushia maana kurusha n gharama
 
ni kwakuwa wana umoja ndo maana wanatangaza ili kupeana taarifa
ndo maana wachagga watabaki kuwa tishio tanzania daima dumu
kabila gani lina utamaduni wa kukutana walau mara moja kwa mwaka [worldwide]????? WACHAGGA
labda ungeuliza kwa nini matangazo mengi ya biashara karibu radio zote yanatumia lafudhi ya kichagga???/

:violin::violin::violin:
proud to be CHG
 
Kama unataka ugombane na wazee, jaribu kubadili radio wakati wa matangazo ya vifo. Watu wapo tayari kupitwa na taarifa ya habari lkn si MATANGAZO YA VIFO. Radio One inaheshimika Moshi kwa kuwa kuna watu wanataka kujua ndugu waliofariki.
Kama unataka ugombane na wazee, jaribu kubadili radio wakati wa matangazo ya vifo. Watu wapo tayari kupitwa na taarifa ya habari lkn si MATANGAZO YA VIFO. Radio One inaheshimika Moshi kwa kuwa kuna watu wanataka kujua ndugu waliofariki.
Huwa wana ushirika ambao unatoa rambirambi kwa wafiwa wanachama na hata kusafirisha mwili wa marehemu. Sasa kama umefiwa njia ya kukonfirm kama kweli umefiwa unatoa tangazo la kifo kwenye vyombo vya habari. Halafu unapewa rambirambi. Vinginevyo ungekuta mtu anafiwa kila siku na anakula mshiko kiaina.
hahahaha
 
Back
Top Bottom