Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,449
- 9,744
Huwa wana ushirika ambao unatoa rambirambi kwa wafiwa wanachama na hata kusafirisha mwili wa marehemu. Sasa kama umefiwa njia ya kukonfirm kama kweli umefiwa unatoa tangazo la kifo kwenye vyombo vya habari. Halafu unapewa rambirambi. Vinginevyo ungekuta mtu anafiwa kila siku na anakula mshiko kiaina.
nimekusoma mkuu