Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,257
- 3,904
wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza mara nyingi nikipata wasaa wakusikiliza radio one hasa mida ya mchana, kwenye matangazo ya vifo kinachonishangaza ni kwamba majina na watu niwasikiao wamekufa ni wa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha tu. Tena hasahasa kilimanjaro.
Sio kwamba lazima wawe wanaishi huko bali hata kama wanaishi mikoa mingineyo. mathalani jana nikiwa kwenye daladala mwanzo hadi mwisho wa matangazo hayo ni watu wa jamii ya huko.
Maswali:
1. Watu wa kanda nyingine hubaguliwa wakipeleka matangazo yao?
2. kuna gharama nafuu/priorities kwa jamii ya huko?
My take:
Si kuleta mgawanyiko, matusi au kebehi. Tujadili kwa amani na kuelimishana.
Nawasilisha.
Wadau kama kuna mtu huwa anasikiliza kipindi cha matangazo ya vifo cha redio one kinachorusha saa saba na saa kumi baada ya taarifa ya habali ila kinachonishangaza kila siku watu wanaotajwa wote wafiwa ,marehemu na misiba ni wachagga kwani hivi hiki kipindi jamaa wamenunua
Wadau kama kuna mtu huwa anasikiliza kipindi cha matangazo ya vifo cha redio one kinachorusha saa saba na saa kumi baada ya taarifa ya habali ila kinachonishangaza kila siku watu wanaotajwa wote wafiwa ,marehemu na misiba ni wachagga kwani hivi hiki kipindi jamaa wamenunua
aliyekuambia rombo ni tanzania ni nani? Kwanza redio zinazoshika vizur ni citizen, capital, kbc, et al zote za kenya, ukiwa rombo mitandao ya cm inakataa kushika na kuwa influenced na network za safaricom na kencell! Radio one na free maeneo meng ya rombo hazshiki totally!me nilisha kaa Rombo saaana tuu, hakuna redio ya tz inayoshika vizur zaid ya R1, tbc saa 1 asubuh imesha anza kuchanganyikiwa, rfa haishiki mpaka saa kumi na 2 jion kweny AM au MW. Inayo jitaid ndio hiyo R1 tena kwenye AM na baadh ya sehemu kweny FM kama KWETU!!! Theee! theeeee!!
Ndio maana wakafanikiwa kusomesha kwa kiwango cha kutisha kwa kuanzia, nenda muhimbiliWazee wa kitimoto na mbege!
Wazee wa kitimoto na mbege!
Wadau kama kuna mtu huwa anasikiliza kipindi cha matangazo ya vifo cha redio one kinachorusha saa saba na saa kumi baada ya taarifa ya habali ila kinachonishangaza kila siku watu wanaotajwa wote wafiwa ,marehemu na misiba ni wachagga kwani hivi hiki kipindi jamaa wamenunua