Friends,
Sio siri,matangazo ya biashara ya CCM radioni yana ni bore sanaaaaaaaaaaaaaaaa
Yanakinaisha? How? Kwani umelazimishwa kuyasikia? Nyie ni kuku tu dua zenu zitabakia kuwa dua tu!!!
We unasems hsyo coz uns interest zako,ila swali la msingi ni kwamba muda wote CCM walikuwa wapi hadi wasubiri kipindi karibu na uchaguzi ndo waanze kuji advertise????wanamtangazia nan kama wanajua wanakubalika (kama wanavyojisifiaga) kimsingi matangazo ya CCM Redion ni upuuzi mtupu,CCM ni chama dola..serikali ni yake how come ianze kujitangaza!!!!hivi wewe unaweza ukaanza kujitangaza nyumbani kwako ilhal we ndo baba???huku ni kufilisika ki fikra na mawazo na kuhadaa wananchi.Dua la kuku halimpati mwewe, tapikeni basi halafu mpate kazi ya kuzoa. Hamtaishinda CCM kwa nyie wachache kuichukia bali kwa kuwaelemisha wananchi wengi waichukie.
Unajua wananchi tukijua mna chuki mno hatuwezi kuwapa madaraka. Jengeni hoja zenye nguvu badala ya machuki. Angalieni msije mkachukia mpaka mkaanguka kwa BP na bado kipigo mkakipata hiyo Oktoba.
Akili ya kuambiwa............................................................
Friends,
Sio siri,matangazo ya biashara ya CCM radioni yana ni bore sanaaaaaaaaaaaaaaaa
Friends,
Sio siri,matangazo ya biashara ya CCM radioni yana ni bore sanaaaaaaaaaaaaaaaa