kuna matangazo mawili hivi redioni na tv
nikisikia tu linaanza nabadili stesheni
kwanini niharibu siku yangu kwa kuboreka?? 1.tangazo la yule m-baba wa zain dk 1 anatembea km ana tege ivi(jina limetoka)
2.ccm
hilo linataka kunifanya nihame mtandao kabisa, hm wanjua watoto wakula timing likianza tu watoa afu wacheka kinoma!!! huyu mi nam-asociate na chama cha siasa
@ magezi u are right, haisaidii kuchukia adverts, lakini hatujachagua kuchukia imekuja tu involuntarily
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.