Globetrotter
Member
- Mar 25, 2021
- 9
- 17
- Thread starter
- #21
PM Majaliwa alisema kweli, hata VP Samia pia alisema hivyo hivyo, JPM alikuwa mzima akipiga job, mara akaugua ghafla na kufa ghafla.
Umeme wa Stigler utawaka ufikapo mwezi Juni , 2022!.
Amini nakuambia.
P
Na alipoongea vile umma wa wana Instagram na faceebook ulimwamini ingawa twitter na jf haukumwelewa kabisa.