miguuu kama ya nsajigwa.
Mimi nafikiri kugeuka na kumwangalia mtu, sio lazima umtamani! Hata wanawake watageuka kumwangalia huyo mdada, maana vya kwake vimezidi ukawaida! na nguo aliyovaa nayo inachangia watu kugeuka!Kitu kama hii mwanaume yeyote rijali lazima ageuke angalau ashangae tu, hata kama kaongozana na mpenzi wake lazima akate shingo
miguuu kama ya nsajigwa.
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nimecheka mpaka basi maana nilikuwa sijaangalia vizuri
Huyu kazidisha mno Gym
Aaaaah mi nina aleji na hilo fulushi mmmh
Geoff kapolea wapi?Kuna jamaa angu hapa pembeni ananiambia ..........
Mimi nafikiri kugeuka na kumwangalia mtu, sio lazima umtamani! Hata wanawake watageuka kumwangalia huyo mdada, maana vya kwake vimezidi ukawaida! na nguo aliyovaa nayo inachangia watu kugeuka!
nadhani kutamani ni kwa kila mtu!sema tu inategemea unajizuia vpi,tusiongelee uwingi lkn mm kama mdada pia natamani,unaweza kumtamani mtu kwa muonekano wake,utanashat wake,uongeaji wake,uelewa wake,mali zake alizonazo,tabasam lake,uchafu wake,upole wake etc lakini maadili yangu hayaniruhusu kumwambia langu la moyoni labda nikivuka mipaka sana ntamwambia kaka umependeza lkn siwezi kusema kaka nakupenda,sasa mtu kama huyu akinitokea tu atapata chenga ndogo tu labda mwezi maana tayari na mm nina nterest zangu kwakwe.
Huyu kazidisha mno Gym
hapo penye bold da pearl, mi labda nimeumbwa kivingine. mi siku ya kuolewa ikifika kama sijapata mchumba nitatafuta mwenyewe na nikimpata nitamwambia lote lililomo moyoni na akilini mwangu yule nitakayeona ananifaa na nitamuencourage na kumuongoza hadi tufunge ndoa. kwa kweli mi sina udhaifu wa kusubiri kuambiwa kwanza nanaamini si kukiuka maadili maadam ninalenga kufunga ndoa ambayo hakuna maadili yanayoikataza. siwezi kuwa mtumwa na wakati Mungu kishaniweka huru
D5 ameikolea kabisa wewe unasema hapana
Huyu kazidisha mno Gym