ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Waziri wa mambo ya nje wa Lebanon ameyaomba mataifa ya Kiarabu kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Marekani kama njia ya kulipiza kisasi kwa kitendo cha Rais wa nchi hiyo Donald Trump kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel,huku akiahidi kuuhamisha ubalozi wa nchi yake kwenye mji huo (Jerusalem).
Waziri wa mambo ya nje wa Lebanon Gebran Bassil,ameyasema hayo katika kikao cha dharula huko Cairo nchini Misri.
Bwana Bassil ameyataka mataifa ya mashariki ya Kati kuiwekea vikwazo vya kisiasa,kiuchumi na kifedha Marekani.
RT
Huku hayo yakiendelea kuna taarifa zinaeleza kwamba jeshi la Malaysia limesema kwamba lipo tayari kuiingilia kijeshi na kuikomboa Jerusalem.
YAhoo Singapore News
Waziri wa mambo ya nje wa Lebanon Gebran Bassil,ameyasema hayo katika kikao cha dharula huko Cairo nchini Misri.
Bwana Bassil ameyataka mataifa ya mashariki ya Kati kuiwekea vikwazo vya kisiasa,kiuchumi na kifedha Marekani.
RT
Huku hayo yakiendelea kuna taarifa zinaeleza kwamba jeshi la Malaysia limesema kwamba lipo tayari kuiingilia kijeshi na kuikomboa Jerusalem.
YAhoo Singapore News