Mataifa ya Kenya na Uganda yaongeza mpaka moja zaidi

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,757
48,404
Tunaendelea kufunguliana maana biashara zinazoga...............


Kenya and Uganda have endorsed the establishment of the third point of entry and exit at their common land boundary to boost cross-border trade.
The neighbouring countries’ major crossings are Busia and Malaba borders along the Northern Corridor that links the Mombasa port in the Kenyan coast to Uganda, Rwanda, Burundi and the eastern Democratic Republic of Congo.
Nairobi and Kampala officials Thursday consented to the setting up of a border post at Muluanda in Samia, Busia County to ease the movement of goods and persons.
The Kenyan delegation was led by the Kennedy Nyaiyo, the director of the Border Management Secretariat, while Uganda was led by Major Martha Asiimwe, a presidential advisor. Also present was Busia Deputy Governor Moses Mulomi.
Mr Nyaiyo said Kenya has in excess of 200 acres of land along its border with Uganda, which allows it to set up more crossing posts.
“Muluanda (border post) requires up to 50 acres of land for establishment. This gives space to more other points to be opened,” said Mr Nyaiyo.
The Muluanda point was mooted during President Mwai Kibaki’s administration when he toured the site in 2009. It was expected to decongest the Busia and Malaba borders. A five-kilometre road from Nangina junction to Muluanda was also to be tarmacked. This has yet to be implemented.
Busia County hosts the two border posts, with Muluanda, once built, becoming the third.
“Kenya and Uganda enjoy cordial relations. Although the proposal was mooted a long time ago, the latest development is good news for the residents of Busia County,” said Busia DG Mulomi.
He noted that 43 percent of trade between Kenya and Uganda passes through the Busia and Malaba border points, adding that easing movement will boost revenues, trade and integration.
Major Asiimwe noted that the establishment of the Bunyinde-Muluanda post will uplift the livelihoods of communities on either side of the border.
She said Uganda would need time to look into land for the project.


 
Habari njema hii. Tunazidi kuboresha mazingira ya kibiashara hapa Kenya.

Wakenya tunajituma sana, niko huku Juba, Sudani Kusini, yaani Wakenya wamepenya kwenye kila sekta, duh hawa Wasudan siku wakiingiwa na chuki za Kitanzania tutawakoma kwa kweli. Viwanda, biashara za kila aina nyingi zinamilikiwa na Wakenya na Wasomali, uzuri zinatoa fursa kwa wazawa.
 
Wakenya tunajituma sana, niko huku Juba, Sudani Kusini, yaani Wakenya wamepenya kwenye kila sekta, duh hawa Wasudan siku wakiingiwa na chuki za Kitanzania tutawakoma kwa kweli. Viwanda, biashara za kila aina nyingi zinamilikiwa na Wakenya na Wasomali, uzuri zinatoa fursa kwa wazawa.
Hio ni poa. Glad to hear that. Ni kweli tunajituma sana na tuko kote kote.
 
Tunaendelea kufunguliana maana biashara zinazoga...............


Kenya and Uganda have endorsed the establishment of the third point of entry and exit at their common land boundary to boost cross-border trade.
The neighbouring countries’ major crossings are Busia and Malaba borders along the Northern Corridor that links the Mombasa port in the Kenyan coast to Uganda, Rwanda, Burundi and the eastern Democratic Republic of Congo.
Nairobi and Kampala officials Thursday consented to the setting up of a border post at Muluanda in Samia, Busia County to ease the movement of goods and persons.
The Kenyan delegation was led by the Kennedy Nyaiyo, the director of the Border Management Secretariat, while Uganda was led by Major Martha Asiimwe, a presidential advisor. Also present was Busia Deputy Governor Moses Mulomi.
Mr Nyaiyo said Kenya has in excess of 200 acres of land along its border with Uganda, which allows it to set up more crossing posts.
“Muluanda (border post) requires up to 50 acres of land for establishment. This gives space to more other points to be opened,” said Mr Nyaiyo.
The Muluanda point was mooted during President Mwai Kibaki’s administration when he toured the site in 2009. It was expected to decongest the Busia and Malaba borders. A five-kilometre road from Nangina junction to Muluanda was also to be tarmacked. This has yet to be implemented.
Busia County hosts the two border posts, with Muluanda, once built, becoming the third.
“Kenya and Uganda enjoy cordial relations. Although the proposal was mooted a long time ago, the latest development is good news for the residents of Busia County,” said Busia DG Mulomi.
He noted that 43 percent of trade between Kenya and Uganda passes through the Busia and Malaba border points, adding that easing movement will boost revenues, trade and integration.
Major Asiimwe noted that the establishment of the Bunyinde-Muluanda post will uplift the livelihoods of communities on either side of the border.
She said Uganda would need time to look into land for the project.


Msiongeze na Uganda tu, hata Somalia ni jirani zenu, hata huko mnaweza kufungua vituo zaidi. Ni suala la muda tu, Sudani Kusini washawachoka siku nyingi.
Tanzania haiwezi kuruhusu hujma za kiuchumi zinazoendeshwa na magenge ya wakenya, Magu aliwaweza sana, Samia akiwa soft na Kenya, itabidi tumkumbushe vizuri hili. Pia hata mtaani lazima kuwe na namna ya kuwakumsha wakenya kuwa wapo nchi za watu na ni kipi wanapaswa kufanya.
 
Msiongeze na Uganda tu, hata Somalia ni jirani zenu, hata huko mnaweza kufungua vituo zaidi. Ni suala la muda tu, Sudani Kusini washawachoka siku nyingi.
Tanzania haiwezi kuruhusu hujma za kiuchumi zinazoendeshwa na magenge ya wakenya, Magu aliwaweza sana, Samia akiwa soft na Kenya, itabidi tumkumbushe vizuri hili. Pia hata mtaani lazima kuwe na namna ya kuwakumsha wakenya kuwa wapo nchi za watu na ni kipi wanapaswa kufanya.

Hehehe ona mwingine, acha stori za vjiweni bana, eti Sudan washatuchoka, hapa niko Juba, Sudan Kusini na aki ya nani nmeshangaa sana kuona Wakenya walivyowekeza huku mpaka basi, naomba sana Wasudan wasiingiwe na uzembe na chuk za Kitanzania maana tutapoteza sana, uzuri wenyewe sio wavivu kama mlivyo, wanajituma sana na kupokea maujuzi kutoka kwa Wakenya.

Vijana wengi wa Kisudani wameacha mavita vita na kuingia kwenye uzalishaji, wanasoma na kujituma, wanapata elimu ya Kikenya na namna ya utenda kazi wa Kikenya na hivi karibuni wataishinda Tanzania kiuchumi hawa, sio kwa kujituma huku.
 
Hehehe ona mwingine, acha stori za vjiweni bana, eti Sudan washatuchoka, hapa niko Juba, Sudan Kusini na aki ya nani nmeshangaa sana kuona Wakenya walivyowekeza huku mpaka basi, naomba sana Wasudan wasiingiwe na uzembe na chuk za Kitanzania maana tutapoteza sana, uzuri wenyewe sio wavivu kama mlivyo, wanajituma sana na kupokea maujuzi kutoka kwa Wakenya.

Vijana wengi wa Kisudani wameacha mavita vita na kuingia kwenye uzalishaji, wanasoma na kujituma, wanapata elimu ya Kikenya na namna ya utenda kazi wa Kikenya na hivi karibuni wataishinda Tanzania kiuchumi hawa, sio kwa kujituma huku.
Sudan Kusini wana reserve kubwa ya mafuta, na ikisimamiwa vizuri watazizidi nchi ikiwemo Kenya yenyewe. Hii inaitwa "elimu" ya Kenya sikuwahi kuielewa, kwani zaidi ya Kiingereza hakuna kitu cha zaidi, na Kiingereza hakiwezi kuwa kigezo pekee cha kupima ubora wa elimu. Kuna hazitumii kiingereza na ila ziko mbali na Kenya itahitaji zaidi ya miaka elfu moja kuwafikia, na kuna nchi kama Uingereza, vijana wauza nyanya na vitunguu wana Kiingereza kizuri kuliko prof. wa language kutoka Nairobi University. Kwa sasa Kenya haina technolojia yoyote ambayo Tz hana,labda ya ku process mirungi na kuandaa mtura.
 
Sudan Kusini wana reserve kubwa ya mafuta, na ikisimamiwa vizuri watazizidi nchi ikiwemo Kenya yenyewe. Hii inaitwa "elimu" ya Kenya sikuwahi kuielewa, kwani zaidi ya Kiingereza hakuna kitu cha zaidi, na Kiingereza hakiwezi kuwa kigezo pekee cha kupima ubora wa elimu. Kuna hazitumii kiingereza na ila ziko mbali na Kenya itahitaji zaidi ya miaka elfu moja kuwafikia, na kuna nchi kama Uingereza, vijana wauza nyanya na vitunguu wana Kiingereza kizuri kuliko prof. wa language kutoka Nairobi University. Kwa sasa Kenya haina technolojia yoyote ambayo Tz hana,labda ya ku process mirungi na kuandaa mtura.

Elimu ya Kikenya hauwezi kuielewa maana uwezo huo hauna na haujaufikia na hautaufikia....
Sudan Kusini tuko nao bati kwa bati, tofali kwa tofali, Wakenya tumejichomeka kwenye sekta zote wakiendelea na sisi tunapiga hatua humo humo, na kwa taarifa yako wengi wao wameenda kuwekeza pia Kenya, sio wazembe kama nyie.
 
Pia mnaongoza kufa Kwa njaa mpaka sasa wakenya million 6 wanaishi Kwa mlo mmoja wengine laki 8 hawana uhakika wa chakula
 
Ukiona taifa la waliokua wakijiita the pride of Africa wanajitamba kuwa na uhusiano mzuri na Sudan kusini jua kimeumana 😄😄😄

Mara ya mwisho kuiona Sudan kusini ni ile siku diamond alienda huko dah wa Sudan wale wanaimba kiswahili neno kwa neno mpaka nikashtuka, diamond alikutana mpaka na serikali yote ya Sudan, nilepeleleza kama msanii yeyote jirani yao anajulikana kama huyu mtoto wa tandale nikakosa jibu

Ama kwa hakika Sudan kusini wanatupenda sana watanzania


 
Ukiona taifa la waliokua wakijiita the pride of Africa wanajitamba kuwa na uhusiano mzuri na Sudan kusini jua kimeumana 😄😄😄

Mara ya mwisho kuiona Sudan kusini ni ile siku diamond alienda huko dah wa Sudan wale wanaimba kiswahili neno kwa neno mpaka nikashtuka, diamond alikutana mpaka na serikali yote ya Sudan, nilepeleleza kama msanii yeyote jirani yao anajulikana kama huyu mtoto wa tandale nikakosa jibu

Ama kwa hakika Sudan kusini wanatupenda sana watanzania



Kwahiyo wasanii wetu wanafaa kujulikana S. Sudan ndio uamini tumeshika ukanda huo, kweli wewe boya wa maboya, endelea kubana pua tu hapo kijiweni! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Akili zingine zinafaa reboot (za wabongo haswa)
 
Na wewe mqndu kweli, elimu ya Kenya hauna uwezo nayo mlalahoi wa Tandale, matajiri weye hela kwenu ndio hutuma watoto wao waje kusomea Kenya, nyie makajamba wengine mnasotea kwenye hzio saint Kayumba na ndio maana mpo nyuma kwenye kila kitu.
Hata sasa nafurahia sana kuwa nyuma yako, mashallah mtoto una maajabu mengi.
 
Hata sasa nafurahia sana kuwa nyuma yako, mashallah mtoto una maajabu mengi.

Jaribu upate elimu ya Kikenya uache hayo maisha ya kuliwa uboga hapo kwa Mpalange. Japo pole yako hauna uwezo wa elimu ya Kikenya....hehehehe!!
Siku hizi nawapelekesha mnavyokuja...mnapata za uso kwa mwendo huo huo.....
 
Jaribu upate elimu ya Kikenya uache hayo maisha ya kuliwa uboga hapo kwa Mpalange. Japo pole yako hauna uwezo wa elimu ya Kikenya....hehehehe!!
Siku hizi nawapelekesha mnavyokuja...mnapata za uso kwa mwendo huo huo.....
Wewe ngoja tukupeleke Mombasa ili ukirudi uweze kutupea vizuri. Wala Kenya haina elimu yoyote kelele, hebu sema Kenya mliwahi gundua nini ?
 
Wewe ngoja tukupeleke Mombasa ili ukirudi uweze kutupea vizuri. Wala Kenya haina elimu yoyote kelele, hebu sema Kenya mliwahi gundua nini ?

Hehehe!! Naona ushanogewa na hapo kwa Mpalange Buza, elimu ya Kenya ingekuokoa uondokane na hayo mateso ya kuliwa ila sasa huo uwezo hauna.
 
Back
Top Bottom