DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Zitto wabunge waupinzani ni wezi maaana watapokea kiinua mgongo cha zaidi ya milioni 200.
Swali: unasema pesa hizo ni zawizi je wewe utapokea? Maana katibu wa bunge alisema unahaki ya kupokea.
Zitto: Nitapokea lakini ntapeleka kusaidia maalbino.
Watu: huuuuhuuuhuuu unauhakika gani hao wabunge wengine watatumia wapi
Zitto: kwa jazba anajibu "waulizeni wao
Watu: buuubuuubuuuubuuuu
Swali la pili
Wewe ulivyo timuliwa kwenye chama chako cha zamani ndani ya siku saba ukahamia chama kingine na kubadirisha katiba kisha kujipatia cheo kikubwa.hauoni kama wewe ni mroho wa madaraka? Alfu mbona unataja vyeo vya wenzio wewe hautaji chako?
Zitto: Zitto hili swali atalijibu mwenyekii
Magwila: mfumo wetu haupo Tanzania tumeuchukua Kenya, kunakua na kiongozi wa chama na mwenye kiti
Watu: weweeee taja cheo chake, wewe na yeye nani mkubwa
Magwira: anaona aibu anacheka, ebu tuangalieni mimi na zitto nani mkubwa
Watu: wewe jibu swaliii
Zitto ana mnyan'ganya mic magwila kisha anajibu kwa jazba sisi hatugawani vyeo tunagawana majukumu
Watu: buuubuuubuuuuuuu
Swali la tatu
Kama ambavyo dr slaa alitaja list of shame vipi na wewe unaujasiri wa kutaja majina ya walio ficha fedha uswisi ukizingatia tunaenda kwenye uchaguzi na tunaweza kuwachagua hau walio ficha bila kujua
Zitto.kwani Slaa alivyo wataja kilibadirika nini majina ntayapelekwa bungeni
Watu: huuuhuuuhuuuhuu
Habibu: anamnyan'ganya mic muuliza swali.
Watu: mwachieeeee
Habibu wanao taka kujiunga na chama waje wajiunge
Watu: mnazinguaaaaaaa
Mytake: Zitto na ACT yake wajipange sana maana una watanzania ni waelewa kuliko anavyodhani.
Hajiulizi mpaka sasa kwanini hakuna mwanachadema anayehama chama na kujiunga nae.
Swali: unasema pesa hizo ni zawizi je wewe utapokea? Maana katibu wa bunge alisema unahaki ya kupokea.
Zitto: Nitapokea lakini ntapeleka kusaidia maalbino.
Watu: huuuuhuuuhuuu unauhakika gani hao wabunge wengine watatumia wapi
Zitto: kwa jazba anajibu "waulizeni wao
Watu: buuubuuubuuuubuuuu
Swali la pili
Wewe ulivyo timuliwa kwenye chama chako cha zamani ndani ya siku saba ukahamia chama kingine na kubadirisha katiba kisha kujipatia cheo kikubwa.hauoni kama wewe ni mroho wa madaraka? Alfu mbona unataja vyeo vya wenzio wewe hautaji chako?
Zitto: Zitto hili swali atalijibu mwenyekii
Magwila: mfumo wetu haupo Tanzania tumeuchukua Kenya, kunakua na kiongozi wa chama na mwenye kiti
Watu: weweeee taja cheo chake, wewe na yeye nani mkubwa
Magwira: anaona aibu anacheka, ebu tuangalieni mimi na zitto nani mkubwa
Watu: wewe jibu swaliii
Zitto ana mnyan'ganya mic magwila kisha anajibu kwa jazba sisi hatugawani vyeo tunagawana majukumu
Watu: buuubuuubuuuuuuu
Swali la tatu
Kama ambavyo dr slaa alitaja list of shame vipi na wewe unaujasiri wa kutaja majina ya walio ficha fedha uswisi ukizingatia tunaenda kwenye uchaguzi na tunaweza kuwachagua hau walio ficha bila kujua
Zitto.kwani Slaa alivyo wataja kilibadirika nini majina ntayapelekwa bungeni
Watu: huuuhuuuhuuuhuu
Habibu: anamnyan'ganya mic muuliza swali.
Watu: mwachieeeee
Habibu wanao taka kujiunga na chama waje wajiunge
Watu: mnazinguaaaaaaa
Mytake: Zitto na ACT yake wajipange sana maana una watanzania ni waelewa kuliko anavyodhani.
Hajiulizi mpaka sasa kwanini hakuna mwanachadema anayehama chama na kujiunga nae.