hilo umeshalisema, panua kidogo wigo wako wa matusi. Ukweli huuma, unakuja na vi concept vyako vya "hot button" issues za nchi nyingine halafu mtu anakuja ku spoil the orgy of falsehood kwa kueleza ukweli, kwamba issues hizo hazileti political split Tanzania, lazima uchukie, halafu kama uwezo wako wa kutegemea clutches za emotions basi duu, upeo wako unakuwa exposed.... basi kweli kwenye majuha wewe ndio juha wa mwisho.
hilo umeshalisema, panua kidogo wigo wako wa matusi. Ukweli huuma, unakuja na vi concept vyako vya "hot button" issues za nchi nyingine halafu mtu anakuja ku spoil the orgy of falsehood kwa kueleza ukweli, lazima uchukie, halafu kama uwezo wako wa kutegemea clutches za emotions basi duu, upeo wako unakuwa exposed.
aa.
Dr. Slaa, nafasi ya uongozi ngazi ya Uraisi ni nafasi nyeti, yenye maamuzi mazito ambayo wakati mwingine yanakinzana na suala la dini. Kwa mfano dini ya kikristo hairuhusu kulipiza visasi haitakiwi ulipize ubaya kwa ubaya. Kama tukikupa Urais wan chi yetu, ikitokea nchi yetu ya Tanzania ikavamiwa na maaadui, tukikuchagua Dr Slaa kuwa Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, je kama amiri jeshi mkuu wetu, utaweza kutoa ruhusa nchi yetu iende vitani kutetea maslahi, mipaka na haki zetu watanzania?
Pili, hakuna shaka kabisa kwamba serikali ya Jakaya Kikwete imesimamia kwa mafanikio makubwa sana suala la mauaji ya walemavu wa ngozi yani ALBINO. Dr. Slaa, je, tukikuchagua uwe Rais wetu wa Tanzania, ikija fikia suala la kufanya maamuzi ya kuizinisha wauaji wanyongwe, utakuwa tayari kusimamia death penalty, mfano kuizinisha wauaji wa albino wanyongwe? Utaziteteaje Haki za ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi yani Albino? utazisimamiaje?
Mwisho tunafahamu fika ni jinsi gani Jakaya Kikwete alivyoweza kuwa kiongozi mvumilivu na asiye hamaki. JK ni mvumilivu sana, kwa mfano likija suala la vyombo vya Habari ambapo tumeona jinsi gani magazeti mbali mbali yanavyomchafua, ameyapa uhuru sana licha ya kuwa na uwezo wa kuyabana kikatiba. Je, Dr. Slaa wewe ni mvumilivu na usie na hamaki? Kuna mifano dhairi kutoka kwa wajumbe wa kamati yako ya Bunge jinsi gani ulivyokuwa mtu wa kuhamaki, hasira, kuzira na kungangania mawazo yako ndiyo yasikilizwe na yawe ya mwisho. Je, unatuelezea nini juu ya suala hili? Kuna ukweli kuhusu suala hili?
Naongelea Tanzania!Juzi juzi tu hapa tumeona wale jamaa wa Malawi (wale magay) walivyofanyiwa. Uganda na kwenyewe walitaka kutunga sheria (kama sikosei) ya kupiga marufuku ugay hadi wakakoromewa na Obama.
hilo umeshalisema, panua kidogo wigo wako wa matusi. Ukweli huuma, unakuja na vi concept vyako vya "hot button" issues za nchi nyingine halafu mtu anakuja ku spoil the orgy of falsehood kwa kueleza ukweli, kwamba issues hizo hazileti political split Tanzania, lazima uchukie, halafu kama uwezo wako wa kutegemea clutches za emotions basi duu, upeo wako unakuwa exposed.
Wee Tasso unamchezea NN! Shauri yako sisi ngoja tuone ligi itakakakoishia. Huwezi kumshinda NN. Nakutahadharisha maana najua wewe ni mgeni hapa JF hujui mengi.Taso
Senior Member
Join Date Sat Jun 2010
Posts 201
Thanks : 5
Thanked 48 Times in 33 Posts
Rep Power21
Hata kama nimekuja hapa juzi, hapa ni cha mtoto hapa, sio forum la kwanza mimi kujadili issues. Jamvi limejaa mada za "NATAFUTA VIDONGE VYA KUONGEZA NYEGE" ndio forum la kuogopa mtu hilo?Wee Tasso unamchezea NN! Shauri yako... najua wewe ni mgeni hapa JF hujui mengi.
Hayo ndio maswali ya mtanzania wa kawaida kama mimi katika nyakati hizi za uchaguzi. Utakuja gundua umuhimu wa mimi kuuliza maswali haya marahisi muda si mrefu. naomba uvumilie kidogo.
Hata kama nimekuja hapa juzi, hapa ni cha mtoto hapa, sio forum la kwanza mimi kujadili issues. Jamvi limejaa mada za "NATAFUTA VIDONGE VYA KUONGEZA NYEGE" ndio forum la kuogopa mtu hilo?
.
ah wapi, inabidi wafute posti zangu kuni neutralize
ninachokosea mimi ni kwamba siangalii nani nadahili nae, invisible mwenyewe akichemka huwa nam call out, inabidi ani muzzle
yuko radhi jamvi lijae discusion za "natafuta kidonge cha kuongeza nyege" kuliko irreverent political speech ya Taso
Invisible,
Yani unafuta mabandiko yangu mengi halafu unaacha ma topiki kama "NATAFUTA KIDONGE CHA KUONGEZA NYEGE" yamepamba front pages za jamvi lako. Hiyo busara kweli?
Kama watu wanashindwa ku deal na comments zangu wanaishia kuchafua jamvi na kutukana ovyo hilo si kosa langu. Ni weakness ya members wa jamvi lako, futa matusi yao opinion yangu iache, acha wafundishwe. Acha wakutane na angle mpya za kuangalia vitu, Tanzania ilikuwa imefungwa peo kwa muda mrefu wa kudumisha fikra za mtu mmoja, acha wafunguke, acha wakikosoa serikali nao wakosolewe, acha wasahihishwe viswahili vibovu, acha mafundi wa computer wakikosea nao wakosolewe, acha wajue matumizi ya sources bila plagiarism, acha wakutane na watu wasio reverent.
Acha wakue!
Una muzzle political speech? That should be protected religiously, especially if sijatishia kupindua serikali wala kudhuru mtu. Dunia hailekei kwenye muzzling opinion siku hizi, hayo yamebaki North Korea na Libya huko, for the most part mi dikteta ya opinion ilishapitwa na wakati. Unaogopa post za Taso?
Naongelea Tanzania!
Unaona unavyoleta unreal "hot button" issues za kwingine? Uganda na Malawi kuwa na controversy hizo ni irrelevant hapa Tanzania. Kujaribu kulazimisha siasa za kwingine Tanzania ni kulimbuka.
Umeweka ki definition cha "hot button" issue ambacho kimekufunga, kimesema swala inabidi lisababishe political divide, we hata huelewi, unang'ang'ania ni jambo lolote ililotapakaa. Ujambazi nao "hot button"?
Tanzania hakuna mrengo wa siasa unaotetea wa$enge, hakuna mjadala kuhusu kutoa mimba, it is settled regime of the law and general sentiment that those practices are eschewed across the spectrum.
Hizo political divide ni foreign issues kwa Tanzania. Unaweza kuwa na ndoa za mahanisi zimetapakaa Tanzania, lakini controversy kuhusu uhalali wake ni foreign issues kwa Tanzania.
Kichwa yake ilishapata shida. Achana naye hana hoja. Ndio hao hao aina ya malaria Sugu na yeye anaingia kwenye ignore listTaso,
Itakuwa vyema sana kutuwekea links ili kuona ukweli wa huo mtakapao wa threads zenye vichwa vya habari hapa JF kama unavyodai hapo juu. Else, this is nothing but an exaggerated and manipulative drive to smear JF. To whose interest or whether to simply serve a self-conniving ego, I don't know... but the pattern is clear!
Makanyaga, huyo NN ndiye mwalimu wetu wa lugha tunayemtegemea humu JF akisaidiana na asst. lecture prof. Kiranga.Mzee Ngabu;
Looks like your statement was intended to read as follows, in order for you to convey the proper meaning to the auudience:
Whether they are in a conversation or not, there are 'hot button issues' that/which are controversial, bound to trigger AN intense emotional reaction from people.
Makanyaga, huyo NN ndiye mwalimu wetu wa lugha tunayemtegemea humu JF akisaidiana na asst. lecture prof. Kiranga.
Nini?Ngoja tujadili.
Watakaoona cha kujadili watajadili ndugu.Nashukuru kwa swali.
Na wewe unalipwa kiasi gani kumtetea kilaza Dr. Slaa au na wewe unacha ziada