Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Kwa nini jambazi wa kwenye video anakufa halafu nikiangalia kanda ile ile siku nyingine anakuwa hai.
Kwa nini jambazi wa kwenye video anakufa halafu nikiangalia kanda ile ile siku nyingine anakuwa hai.
Nakumbuka siku niliyoota vuzi nikafikiri nina cancer! sababu bibi alininunulia suruali ya mtumba nilivovaa sikuvua hadi usiku. Nilikua naambiwa vua hio suruali tufue nagoma, kufika usiku nakuta kanywele kameota! Dah! Nikajua ni madhara ya ile nguo ya mtumba!
Nilijua ukigegeda basi mimba inatokea palepale.
Nilipokua la pili nikagegeda demu halafu nikaangalia tumbo kama mimba ishakua tayari.
Wewe kweli kiboko la pili ushajua kugegeda na umefanya na majaribio. ..heheheheh ...
hii threads z the best....yan unajua utoton tunakuwaga na maswali kbao yanabaki kutuumiza kichwa tu.
......nakumbuka sijaanza chekechea basi naachwa nyumban na mdogo wangu mimuangalie, mama angu na dada na kaka walienda shamba.....sasa ikapita ndege inapima sijui madini au inafanya maping na kakifaa fulan kananing'ia chini...jaman nilikimbia kama kichaaa kwan nilijua ule ndo mwisho wa dunia...nikawa najiuliza hii ndege hapa kijijin imetokea wapi? afu kwa nn inaenda hadi milima ya kule inarudi hadi upande mwingne....nikajua hii inanitafta mm inazuga tu.aliniokoa baba wa jiran huko njian akanishikilia had wazazi walivorudi.
- mimi nilikuwa nikiwaskia big boys wakizungumzia kumkojole msichana, nilikuwa nadhani mkojo huu huu wa kawaida! sasa nikawa najiuliza msichana akishakojolewa, tena kwa wingi wa mkojo, huwa unaenda wapi? matakoni ama tumboni!
- mimi nilikuwa naamini, tukisafiri ile miti nayo inasafiri kwa kurudi nyuma!
nilikuwa nikiona magari madogo naamini sikumoja nayo yatakuwa makubwa
Niliamini kuwa kitu kikipotea unatema mate kwenye kiganja cha kushoto unayachapa na vidole viwili vya kulia yatakakoelekea ndiko hicho kitu kilopo.2 Mdudu akiingia machoni unatema mate juu mara tatu au nne na mdudu anatoka,kweli utoto raha.