mnyandzombe
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 245
- 194
Habari wanaMMU
Bila kupoteza muda naomba kufahamu hasa kutoka kwa wanaume waliooa kama hii hali inatokea na kwako.
Hivi na ninyi huwa mnaulizwa maswali mfulululizo kama mimi kutoka kwa wake zenu?
Vipi na nyie wake za wanaume wwnzangu huwa mnawauliza maswali mengi muwapo na waume zenu kama mimi navoulizwa?
Ninaposema maswali sijalenga upande mmoja ila namaanisha ile hulka ya kuulizauliza hata kitu kidogo.
Mfano anaona tangazo kwenye tv tumepunguza bei ya bidhaa zetu kwa 50% bado atakuuliza eti wamepunguza kwa 50%? wakati anaona na anasikia
Anaelimu ya kutosha kuelewa na kumudu lugha ya kimombo lakini bado anataka umfanyie ukalimani kwenye series za kichina na kikorea kupitia Eng Subtitle?
Si kwamba nachoshwa na maswali ya mke wangu ila ningependa kujua hata nyie ni hivo
Bila kupoteza muda naomba kufahamu hasa kutoka kwa wanaume waliooa kama hii hali inatokea na kwako.
Hivi na ninyi huwa mnaulizwa maswali mfulululizo kama mimi kutoka kwa wake zenu?
Vipi na nyie wake za wanaume wwnzangu huwa mnawauliza maswali mengi muwapo na waume zenu kama mimi navoulizwa?
Ninaposema maswali sijalenga upande mmoja ila namaanisha ile hulka ya kuulizauliza hata kitu kidogo.
Mfano anaona tangazo kwenye tv tumepunguza bei ya bidhaa zetu kwa 50% bado atakuuliza eti wamepunguza kwa 50%? wakati anaona na anasikia
Anaelimu ya kutosha kuelewa na kumudu lugha ya kimombo lakini bado anataka umfanyie ukalimani kwenye series za kichina na kikorea kupitia Eng Subtitle?
Si kwamba nachoshwa na maswali ya mke wangu ila ningependa kujua hata nyie ni hivo