RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Sasa wenyewe wapo Busy unataka niwaulize eeh! na mimi pia nilikuwa mbio mbio... Nilimuuliza Hapo ndio mwisho wa maswali akasema Ndio... Wewe ulitaka niendelee au nimbishie?? wewe RGforever hujaacha kunywa Wanzuki! tu
Jinsi unavyoonekana Mlevi Unasema Mwanafunzi huwezi kumuuliza ana mifugo Mingapi? unadhania kuitwa mwanafunzi ni ulofa? watu wanarithi mali Jirani yangu kuna Mwanafunzi anamiliki Nyumba na mali kadhaa alizoachiwa na Wazazi wake Marehemu, kama karani mjinga kama wewe hatauliza ni kosa kubwa kwa kazi aliyopewa.
naona Hangover za Jumapili hazijakuisha! kuna kitu unakitafuta!
Ni busara tu inatumika hapa hata mimi nina matusi ya kutukana sema sijalelewa mazingira kama yako.
USIKURUPUKE TU NA KUANZA KUMLALAMIKIA KARANI
1. Utamuulizaje mtu kama ni Albino wakati unamwona si albino
2. Utamuulizaje Mwanafunzi wa Chuo aliyepanga hostel kama Anamifugo mahali alipopanga wakati unamwona kabisa hana. Maana unahesabu kitu alichonacho kwenye kaya
3. Utamuulizaje mtu kama ni kilema wa kutembea wakati ulipoingia ulimwona anatembea
4. Utamuulizaje mtu kama anakichwa kikubwa wakati unamwona hana
5. Utamuulizaje Mwanafunzi aliyepanga hostel kama anafuga kuku,ng'ombe au mbuzi.
6. Utamuulizaje mtu kama anajua kusoma na kuandika wakati amekuambia hajawahi kwenda shule
Hebu wanaJF na Makarani wenzangu amueni wenyewe nani anaHANG OVER kati yangu na Mleta Mada
Last edited by a moderator: